Mwezi october mwaka huu wa 2021 zilitangazwa nafasi kadhaa za ajira shirika la umeme Tanzania-TANESCO. Juzi hapa waliita watu kadhaa kwa baadhi ya kada.
Sasa basi nikamuuliza jamaa yangu ambae kwa nafasi yake pale Tanesco sina shaka nae kabisa. Jmaa akaniambia mchakato umesitishwa kwa baadhi ya kada hasa madereva ambapo kulikuwa na nafasi 93. Sio hao tu pia kuna baadhi ya kada hawatosikia kuitwa kwenye usaili labda mpaka itokee mabadiliko/vinginevyo.
Sababu kuu ni sintofahamu ya hali ya mambo inayoendelea kwenye Shirika hilo. Kwahiyo wale mliokuwa mnasubiri mkeka wa utumishi fanyeni maombi sana mambo yakae sawa au karibu nyasa tuvue dagaa
Sasa basi nikamuuliza jamaa yangu ambae kwa nafasi yake pale Tanesco sina shaka nae kabisa. Jmaa akaniambia mchakato umesitishwa kwa baadhi ya kada hasa madereva ambapo kulikuwa na nafasi 93. Sio hao tu pia kuna baadhi ya kada hawatosikia kuitwa kwenye usaili labda mpaka itokee mabadiliko/vinginevyo.
Sababu kuu ni sintofahamu ya hali ya mambo inayoendelea kwenye Shirika hilo. Kwahiyo wale mliokuwa mnasubiri mkeka wa utumishi fanyeni maombi sana mambo yakae sawa au karibu nyasa tuvue dagaa