Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
Wana jamiiforum nilimsikia Mh rais akisema SGR inakuja na fursa 600000, Je washatangaza ajira?
thawa mkuu kwanii mchakato wa ujenzii umeanza??Hzo swaga za jukwaani tu mtasubr sana! Ajira 71,000 za bajeti 2016/2017 kimya mpaka leo mwaka unaisha sembuse hizo laki6? Ukimwamn mwanasiasa utakufa na matumain yako mkuu!
Achana na hawa wanasiasa! Hovyo kabsa! Subr uchaguzi ukarbie ndo utaona hizo fursa!
wahusika naona kimya??Subiri wahusika wanakuja
Wana jamiiforum nilimsikia Mh rais akisema SGR inakuja na fursa 600000, Je washatangaza ajira?
Mkuu fanya ivyo ni wengi tunasubr iyo link maanazimeshaanza kutangazwa mkuu tena zile zenye mishaara minono, watu wa huko duniani wameshaanza kuapply ,kama una subiria za kubeba zege na mataluma nenda site kwao
ngoja nikitulia nita watumia hizo link nafasi za kazi
mkuu utafanya jambo la maana sana hali ni tete sana ...tutumie bhana tukapambane na hali zetuzimeshaanza kutangazwa mkuu tena zile zenye mishaara minono, watu wa huko duniani wameshaanza kuapply ,kama una subiria za kubeba zege na mataluma nenda site kwao
ngoja nikitulia nita watumia hizo link nafasi za kazi
usijalii mkuu ...asante piasorry sana wakuu wangu nilikuwa busy na kutafuta mkate wa siku ndio maana nilishindwa kujibu na kuweka link kwa wakati
Google Translate tumieni hii link nimejaribu kutranslate kwa lugha ya kingereza
jaribuni kutembelea tovuti za hawa wakandarasi walioshinda hizi tender mara kwa mara wanatangaza kazi za huu mradi
kampuni hizo ni http://www.mota-engil.cv/ na www.ym.com
nadhanii thread haikueleweka ila iliitajika wanaotoa ajira hizo privante company!!Serikali haijengi reli...itajengwa na makampuni binafsi....
mmhzimeshaanza kutangazwa mkuu tena zile zenye mishaara minono, watu wa huko duniani wameshaanza kuapply ,kama una subiria za kubeba zege na mataluma nenda site kwao
ngoja nikitulia nita watumia hizo link nafasi za kazi
Mkuu Mbona Tanzania haipo na hakuna nafasi za kazi zinatangazwa??sorry sana wakuu wangu nilikuwa busy na kutafuta mkate wa siku ndio maana nilishindwa kujibu na kuweka link kwa wakati
Google Translate tumieni hii link nimejaribu kutranslate kwa lugha ya kingereza
jaribuni kutembelea tovuti za hawa wakandarasi walioshinda hizi tender mara kwa mara wanatangaza kazi za huu mradi
kampuni hizo ni http://www.mota-engil.cv/ na www.ym.com
05/11/2017 Infrastructure Works Chief TanzaniaMkuu Mbona Tanzania haipo na hakuna nafasi za kazi zinatangazwa??
anachosema jamaa ni ukweli si uvivu information ulizo provide hazipo no information inayopatikana mkuu05/11/2017 Infrastructure Works Chief Tanzania
05/11/2017 Workplace Physician Tanzania
05/11/2017 Planning Chief Tanzania
05/11/2017 Cost Control Supervisor Tanzania
mkuu acha uvivu angalia vizuri sio kila kitu utafuniwe ................
yapi merkez ni kampuni ya kituruki ,website yao ina lugha ya kituruki ,sasa tumia google translate badili kwa kingereza utaona vacany za tanzaniaanachosema jamaa ni ukweli si uvivu information ulizo provide hazipo no information inayopatikana mkuu