Mwanakanenge
Member
- Nov 25, 2012
- 75
- 16
Wana jamvi mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Development Finance and Investment Planning katika Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini kilichopo mkoani Dodoma nilimaliza chuo mwaka 2011.Kutokana na kozi niliyoisoma naweza kufanya kazi zifuatazo:-
1.Kuwa mhasibu
2.Kuwa afisa mikopo
3.Kuwa afisa mipango fedha
4.Kuwa mtafiti
5.Kuwa afisa uwekezaji
Wana jamvi yoyote anayejua ajira za mikoa na wilaya mpya kwa kada nilizozitaja hapo anijulishe.
1.Kuwa mhasibu
2.Kuwa afisa mikopo
3.Kuwa afisa mipango fedha
4.Kuwa mtafiti
5.Kuwa afisa uwekezaji
Wana jamvi yoyote anayejua ajira za mikoa na wilaya mpya kwa kada nilizozitaja hapo anijulishe.