Ajira za M.A Kiswahili

Mpoleee

Member
Nov 10, 2014
75
72
Wadau naomba ufafanuzi mtu aliyesoma Masters of Arts in Kiswahili anaweza akaajirika katika sekta gani nyingine tofauti na uhadhiri wa somo husika.
 
Mtaalam wa lugha Nchi za afrika na ulaya, marekani, asia, nk anahitajika sana.
 
Unaweza ukawa mhariri wa habari ktk vituo vyombo vinavyosambaza habari kwa lugha ya Kiswahili
 
Pia unaweza ukajiajiri mwenyewe kwa kuanzisha taasisi ya kufundisha kiswahili kwa wageni na hata sie wenyeji maana tunajifanya tunajua kiswahili kumbe hakuna kitu, btw soko la ajira lipo kubwa tu kwa nje ya nchi maana mpaka sasa sijui kama hiyo masters inapatikana hapa bongo pamoja na kwamba tunatumia kiswahili daily
 
Pia unaweza ukajiajiri mwenyewe kwa kuanzisha taasisi ya kufundisha kiswahili kwa wageni na hata sie wenyeji maana tunajifanya tunajua kiswahili kumbe hakuna kitu, btw soko la ajira lipo kubwa tu kwa nje ya nchi maana mpaka sasa sijui kama hiyo masters inapatikana hapa bongo pamoja na kwamba tunatumia kiswahili daily

Kwa hapa bongo ipo katika vyuo vikuu viwili tu bongo nzima......Inafundishwa UDSM na OUT
 
Pia unaweza ukajiajiri mwenyewe kwa kuanzisha taasisi ya kufundisha kiswahili kwa wageni na hata sie wenyeji maana tunajifanya tunajua kiswahili kumbe hakuna kitu, btw soko la ajira lipo kubwa tu kwa nje ya nchi maana mpaka sasa sijui kama hiyo masters inapatikana hapa bongo pamoja na kwamba tunatumia kiswahili daily
Wabongo kiswahili tunazidiwa na Kenya tena mbali wenyewe wanavyuo karibu 10 na zaidi vinavyotoa kuanzia M.A na PhD
 
Back
Top Bottom