Ajira za kujuana na hatma ya Tanzania

Jabman

JF-Expert Member
Jul 27, 2016
1,005
1,335
Marahaba wana if.
Matukio yanayojiri Ikwiriri na kwenye ripoti za makinikia in matunda ya kuajiri watu kwa kujuana bila kufuata weledi Wa MTU

Usalama Wa taifa
Enzi za mwalimu, usalama Wa taifa alipatikana kwa kuchunguza tangu akiwa mtoto, primary, secondary n.k. Alichunguzwa pia familia anayotoka kama ni wasiri na werevu.

Alitakiwa awe mbunifu na problem solver.
Kwa tukio LA Ikwiriri tayari wahusika wangekuwa wamejulikana.
Lakini kwa kuwa sasa wanaajiriwa vilaza, mradi tu kuna MTU mbele basi hakuna anayejali.

Suluhisho in kuajiri kwa mtu aliyetayari kula jalalani akichunguza siyo hawa mapedeshe ukimnyima via anakuonesha kitambulisho.
 
Uwajibikaji ni usomi? yaani unamaanisha watu wanaowajibika zaidi ni wasomi ? na wasiowajibika ni vilaza?
Unakosea ndugu, wapo watu waliosomavizuri tu wakifika ofisini wanafanya mambo wakiwa wame relax tu,na wapo ambao hawajasoma ila wanajitolea sana kwa ajili ya nchi yao
 
Marahaba wana if.
Matukio yanayojiri Ikwiriri na kwenye ripoti za makinikia in matunda ya kuajiri watu kwa kujuana bila kufuata weledi Wa MTU

Usalama Wa taifa
Enzi za mwalimu, usalama Wa taifa alipatikana kwa kuchunguza tangu akiwa mtoto, primary, secondary n.k. Alichunguzwa pia familia anayotoka kama ni wasri na werevu.

Alitakiwa awe mbunifu na problem sover.
Kwa tukio LA Ikwiriri tayari wahusika wangekuwa wamejulikana.
Lakini kwa kuwa sasa wanaajiriwa vilaza, mradi tu kuna MTU mbele basi hakuna anayejali.

Suluhisho in kuajiri kwa mtu aliyetayari kula jalalani akichunguza siyo hawa mapedeshe ukimnyima via anakuonesha kitambulisho.
Shikamoo yako tena Mkuu...
Naona umekuja na Majibu sahihi baada ya kufanya Ufukunyuku (Udukuzi) wa kutosha, kwa haya Matokeo/Matukio yanayo tokea kwa sasa, na kueleza nini sababu.

Kuna kaukweli kidogo juu ya tafiti yako..Nakupa maksi ya 70% Mkuu..

Fukunyua na sababu nyingine, naamini Mkuu wa Kaya atapelekewa RIPOTI..

I Salute..!!
 
hilo LA usalama kupeana dili kindugu ni kweli kabisa sikupingi nilikuwa na rafiki yng baba yke alikuwepo idara huyo jamaa alifeli form 4 akawa homebody tuu kula kulala home palikuwa njema mm napiga route zng za kitabu mpk namaliza chuo narud kitaa jamaa ananionyesha kitambulisho nae yupo kitengo
 
Suluhisho in kuajiri kwa mtu aliyetayari kula jalalani akichunguza siyo hawa mapedeshe ukimnyima via anakuonesha kitambulisho.
Utamjuaje mtu wa aina hiyo katika jamii ya wapigaji kama hii?... After all, hii ni karne ya sayansi na teknolojia, hatuhitaji tena watu wa kujifanya vichaa...
 
Uwajibikaji ni usomi? yaani unamaanisha watu wanaowajibika zaidi ni wasomi ? na wasiowajibika ni vilaza?
Unakosea ndugu, wapo watu waliosomavizuri tu wakifika ofisini wanafanya mambo wakiwa wame relax tu,na wapo ambao hawajasoma ila wanajitolea sana kwa ajili ya nchi yao
Hujamwelewa, mimi nadhani alikuwa anaelezea jinsi Usalama wa taifa ulivyokuwa zamani which is true. Mtu anachunguzwa tangu anasoma. Sasa hivi watu wanachukua ndugu zao kujoin usalama ambapo watu zamani waliokota makopo, wakafundisha primary na degree ili mradi walinde nchi. Sasa hivi mtu anatoa pistor kwa former Minister na hawajibishwi je wale waliokamata madini Airport wakati wa Mrema kiliishia wapi? Watu wame abuse elemu na ndo mchangiaji anasema. Ulaza siyo lazima usiende shule. Vilaza kibao na phd zao.
 
sio usalama tu idara nyingi ni vichekesho mtu ana leaving cert. anataka leta ujuaji kisa amepewa kitengo tu
 
HATIMA YA TANZANIA NI VUGUVUGU LA UMMA KUDAI MABADILIKO NA SIO KUTEGEMEA WAPINZANI MAMLUKI WA CHAMA TAWALA
Siku zote haki aidaiwi na mtu mmoja au wawili,kuwalaumu wakina mbowe na lema ni upuuzi ngoja tuendelehe kuonewa siku tukijitambua watanzania wote kwa ujumla ndo itakuwa vizuri
 
Jana Zito Kabwe aliwashutumu mabosi wa Tiss&Pccb kupewa mkungula na share ili kuilinda IPTL.., ile scandal ya EPA, aliyekuwa bosi kubwa wa TISS kipindi cha mzee wa Masasi naye alipokea mihela..uadilifu ni msamiati mgumu kwa watanzania..
 
Marahaba wana if.
Matukio yanayojiri Ikwiriri na kwenye ripoti za makinikia in matunda ya kuajiri watu kwa kujuana bila kufuata weledi Wa MTU

Usalama Wa taifa
Enzi za mwalimu, usalama Wa taifa alipatikana kwa kuchunguza tangu akiwa mtoto, primary, secondary n.k. Alichunguzwa pia familia anayotoka kama ni wasiri na werevu.

Alitakiwa awe mbunifu na problem solver.
Kwa tukio LA Ikwiriri tayari wahusika wangekuwa wamejulikana.
Lakini kwa kuwa sasa wanaajiriwa vilaza, mradi tu kuna MTU mbele basi hakuna anayejali.

Suluhisho in kuajiri kwa mtu aliyetayari kula jalalani akichunguza siyo hawa mapedeshe ukimnyima via anakuonesha kitambulisho.

Kuna mwingine ni mfupi mweupe kazi yake kujisifu tu mitaani lakini ni kilaza hakuna mfano yule jamaa sijui walimpaje kazi kama hiyo maana ni mtu wa kujionesha sana toka tukiwa shule alikuwa anapenda aonekane lakini ni hana kitu kichwani.

Jamaa akikutana na washkaji aliosoma nao anaanza kujisifu kuwa yeye ni usalama na kuonesha mavitambulisho yao.

Hili li nchi lishaoza linatoa funza tu sasa hakuna njia ya kuliponya tena.
 
Back
Top Bottom