Wanahitajika vijana 7 kwa ambao wana utayari wa kufanya kazi hii.
Vijana wawili (2) kazi yao itakua katika banda la chips, ujuzi kidogo utahitajika katika hili. Banda na kila kitu vipo (Maelewano katika malipo ambayo yatafanyika kwa siku)
Vijana watano (5) kazi yao itakua ni kutembeza bagia 20 kila mmoja kwa siku 1 (Mpishi yupo) ambapo malipo yatafanyika kwa mwezi kianzio ni 50,000/=
Eneo la kazi : Dar es salaam
NB :Malazi na chakula ni bure (yaan sehemu ya kulala na chakula ni juu ya mwajiri)
Mawasiliano : 0622-109655 (USIBIPU)
Piga au tuma message zitajibiwa !
Vijana wawili (2) kazi yao itakua katika banda la chips, ujuzi kidogo utahitajika katika hili. Banda na kila kitu vipo (Maelewano katika malipo ambayo yatafanyika kwa siku)
Vijana watano (5) kazi yao itakua ni kutembeza bagia 20 kila mmoja kwa siku 1 (Mpishi yupo) ambapo malipo yatafanyika kwa mwezi kianzio ni 50,000/=
Eneo la kazi : Dar es salaam
NB :Malazi na chakula ni bure (yaan sehemu ya kulala na chakula ni juu ya mwajiri)
Mawasiliano : 0622-109655 (USIBIPU)
Piga au tuma message zitajibiwa !