Ajira viwandani mkoa wa pwani

emmarki

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
682
918
kwa mlioko kibaha pwani...hebu tupeni mchakato kupata hivi vibarua viwandani uncle anaenda kuvizindua.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-06-19-18-50-48.png
    Screenshot_2017-06-19-18-50-48.png
    21 KB · Views: 204
Ngoja tuone atakapo zuru kama havijaanza kazi au vimeshaanza. Maana kama washaanza uzalishaji hapo nafasi ya ajira mpya ni ndogo.
 
Kiwanda cha matrekta hakijajengwa pametimuliwa vumbi tu kuandaa ujenzi na kuweka bendera za nchi mbili jiwe la msingi na ka jukwaa,cha kiluwa najua kiko live msaidizi wake kashaenda sana sasa sijui kama hakikuwa kimezinduliwa ila mwanzo mzuri kwa pwani
 
Kiluwa steel Group nakijua kipo Mlandizi jirani kabisa na shambani kwangu. Kwa waliowahi kupita njia ya kutoka mlandizi stand kwenda kisarawe basi kiwanda kipo njiani kabisa. Kilianza kujengwa 2013. Nafikiri kwasasa ni kweli kitakua kimeanza kazi maana nimepita kule mara ya mwisho may mwaka jana na kilikua hatua za mwisho kuanza kazi.
NB: Rais anaenda kufungua, maana yake kimeshaanza kazi. Kwahiyo Nafasi za kazi zimeshajazwa. Wenye connections zao na ndugu na jamaa ndio wamepeana fursa kama hizo. Kama wewe mwenzake na mimi mjini hapa, tafuta Ardhi tuendeleze kilimo tu maana ndo connects pekee tumerithishwa na baba zetu
 
Back
Top Bottom