legend jemedari
Senior Member
- Sep 7, 2013
- 176
- 239
Muheshimiwa vijana tutakufa njaa toka tar 13 june hadi 13 august miezi miwili ya usitishaji ajira imetimia. Wagonjwa, wanafunzi nk wanatuhitaji chonde chonde tukumbuke muheshimiwa
Utatoka tarehe moja au hutoki?Muheshimiwa vijana tutakufa njaa toka tar 13 june hadi 13 august miezi miwili ya usitishaji ajira imetimia. Wagonjwa, wanafunzi nk wanatuhitaji chonde chonde tukumbuke muheshimiwa
Utumish wa umma + central government = ??????????Muheshimiwa vijana tutakufa njaa toka tar 13 june hadi 13 august miezi miwili ya usitishaji ajira imetimia. Wagonjwa, wanafunzi nk wanatuhitaji chonde chonde tukumbuke muheshimiwa
ACHA UNAFIKI WW UMEJIAJIRIjiajiri ww acha malalamiko kama mtoto wa kambo....