Ajira Serikalini: Rais Magufuli, mwezi mmoja na nusu umekatika kama ulivyoahidi

Mkuu Rais ni wetu watanzania.... Tunapojadili mambo ya msingi kaeni pembeni... Vijana wanahaha huku mtaani wanataka ajira..

Punguzeni ukada. Mimi ni kada tena nafaidi ukada kuliko hata wewe. Ila hili suala linagusa wadofo zetu na ndugu zetu. Acheni unazi..
Sasa kama unafaidi ukada kwanni usifaidi na hao wadogo zako?
Waambie wakae chonjo makonda ameshaagiza kusaka wanaokaa nyumbani bila kazi tuwapeleke selo

#Hapakazitu...msitake kumkwamisha rais, ah ahahha lazima tuisome namba
 
hivi huyo mtumishi hewa ambaye anatafutwa tangu mwezi wa pili hadi leo ni nani hasa ambaye hadi leo hajapatikana kupelekea kusimamishwa kwa ajira,nyongeza za mishahara,na upandishwaji wa madaraja kwa watumishi?


hivi nikweli ajira zimesimama kisa watumishi hewa?
 
Mkuu Rais ni wetu watanzania.... Tunapojadili mambo ya msingi kaeni pembeni... Vijana wanahaha huku mtaani wanataka ajira..
Punguzeni ukada. Mimi ni kada tena nafaidi ukada kuliko hata wewe. Ila hili suala linagusa wadofo zetu na ndugu zetu. Acheni unazi..
Acha unafki na uongo, wewe bavicha unajulikana, na huo mda haujafika,alisema mwez na nusu mpka miezi miwili maana ake kwa kukadiria ni mpk mwezi wa nane ama wa tisa,
 
hivi huyo mtumishi hewa ambaye anatafutwa tangu mwezi wa pili hadi leo ni nani hasa ambaye hadi leo hajapatikana kupelekea kusimamishwa kwa ajira,nyongeza za mishahara,na upandishwaji wa madaraja kwa watumishi?
hivi nikweli ajira zimesimama kisa watumishi hewa?
Vyeti feki pia, we unaweza kulimaliza hilo ttzo mda mfupi?
 
"Tanzania ina wenyewe, wengine tunasindikiza tu" hakuna ajira mpya, hakuna mshahara mpya, na hakuna kazi itakayofanyika.....haya yalimtokea Kikwete. Watumishi wasipolipwa nao hujidai wanatumikia....mwisho wa siku hakuna malipo ya maana lakini pia kazi zimelalazimelala. Zingatia awamu ya 5
 
Mkuu Rais ni wetu watanzania.... Tunapojadili mambo ya msingi kaeni pembeni... Vijana wanahaha huku mtaani wanataka ajira..

Punguzeni ukada. Mimi ni kada tena nafaidi ukada kuliko hata wewe. Ila hili suala linagusa wadofo zetu na ndugu zetu. Acheni unazi..
Mkuu Rais ni wetu watanzania.... Tunapojadili mambo ya msingi kaeni pembeni... Vijana wanahaha huku mtaani wanataka ajira..

Punguzeni ukada. Mimi ni kada tena nafaidi ukada kuliko hata wewe. Ila hili suala linagusa wadofo zetu na ndugu zetu. Acheni unazi..
Kaka tulia ajira sasa hivi ni kwa makada tu!. Jpm katangaza hakuna ajira,kupanda vyeo wala kupanda mishahara mambo haya ni kwa makada tu ila kama wana kadi za kijana na wanajua jinsi ya kumsifia waambie watulie wataonwa tu. labda iwakute bahati mbaya ya lizabon kila siku anasifia na UDC kaukosa. Na simpati humu nahis kachoka kuchonga mdomo
 
Heshima kwako Rais Magufuli....

Tafadhali tunaomba tukukumbushe kuwa muda usiozidi miezi miwili (mwezi moja na nusu) za kufungulia ajira za serikali kama ulivyoahidi umeisha jana. Sasa tunaomba ufungulie ajira. Vijana wanahitaji ajira...

Kwa kuwa serikali yako ni sikivu, basi ni mategemeo yetu kuanzia wiki hii tutaanza kuona matangazo ya ajira katika magazeti mbalimbali...

#Tunaomba sana sana!
Mbona ajira zinafanyika wewe labda huna sifa zinazo takiwa ded, das, dc wewe haupo?
 
Wakuu....ni dhahiri sasa mambo yanaanza maana idara za serikali naona zimeanza kutangaza kazi na hata kuita usaili...pia watu kuitwa kazini

Ukiingia website ya chuo kikuu cha Dar es salaam wametangaza nafasi ya kazi tarehe 13.7.2016 na wanasema ni immediate....application mwisho ni 27.7,2016

Postal bank wameita watu kwa interview...

Mahakimu waliokuwa wamesitishiwa ajira nao kuna baadhi ya kanda wameanza kurejeshwa kazini
 
Mkuu Rais ni wetu watanzania.... Tunapojadili mambo ya msingi kaeni pembeni... Vijana wanahaha huku mtaani wanataka ajira..

Punguzeni ukada. Mimi ni kada tena nafaidi ukada kuliko hata wewe. Ila hili suala linagusa wadofo zetu na ndugu zetu. Acheni unazi..
Nchi hii ajira ziko tele sio lazima kuajiriwa na serkali. tujizoeshe kujiajiri. Hapa Kaizi tuu
 
Back
Top Bottom