Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

serikali inatakiwa iwe inatoa ajira kwa miaka 10 tu baada ya hapo mfanyakazi astaafu
Kuna kada nyingine sio za kuongelea tu eti kwa sababu baba yako hana ajira

Madaktari bingwa wanapatikana kwa njia ngumu sana sio rahisi kuwastaafisha kwa miaka 10 tu kijana

thats wastage of precious materials

Mtaalam wa mionzi mfano yuko mmoja tu katika hospitali flani, umstaafishe ili iweje?

waalimu wa Sayansi hawatoshi kabisa huko katika idara za Elimu msingi na sekondari, bado uwastaafishe, ili iweje?

SERIKALI INAPASWA KUPAMBANA NA HILI TATIZO LA AJIRA KWA NAMNA YA TOFAUTI, sio hivi ulivyoandika
 
Kuna kada nyingine sio za kuongelea tu eti kwa sababu baba yako hana ajira

Madaktari bingwa wanapatikana kwa njia ngumu sana sio rahisi kuwastaafisha kwa miaka 10 tu kijana

thats wastage of precious materials

Mtaalam wa mionzi mfano yuko mmoja tu katika hospitali flani, umstaafishe ili iweje?

waalimu wa Sayansi hawatoshi kabisa huko katika idara za Elimu msingi na sekondari, bado uwastaafishe, ili iweje?

SERIKALI INAPASWA KUPAMBANA NA HILI TATIZO LA AJIRA KWA NAMNA YA TOFAUTI, sio hivi ulivyoandika
Hapana kwa kutumia rationality, kuna sectors zinafaa kuajiri watu kwa muda mrefu na sectors zingine zinapaswa kuajiri watu kwa muda mfup.

Hicho unachokisema kipo sahihi ila umeegemea katika upande wa watu wanaopaswa kupewa muda katika nafasi za kiutendaji.

Lakini pia tukitizama hao hao madaktari bingwa waliokuwa wachache muda wa miaka kumi ni mingi kazini wanaweza kufanya kazi then baada ya hapo wakawa wakufunzi katika vyuo vikuu vya madaktari hapa nchini na wakasaidia kuzalisha madaktari bingwa wengine wengi, Mbona ni swala linalowezekana kama serikali ikiamua.
 
serikali inatakiwa iwe inatoa ajira kwa miaka 10 tu baada ya hapo mfanyakazi astaafu
Hilo sio sawa, huwezi kuwatoa watu wenye uzoefu.
Ni bora wafanyakazi wote wa serikali wawe na mikataba ya miaka mitano mitano.
Kupata mkataba mpya wa kuendelea na mitano mingine itategenea na uadilifu, ufanisi, uchapa kazi, uzalendo na uzalishaji na matokeo chanya. Vinginevyo chukua mafao yako ukapambane mtaani.
 
Hapana kwa kutumia rationality, kuna sectors zinafaa kuajiri watu kwa muda mrefu na sectors zingine zinapaswa kuajiri watu kwa muda mfup.

Hicho unachokisema kipo sahihi ila umeegemea katika upande wa watu wanaopaswa kupewa muda katika nafasi za kiutendaji,
Lakini pia tukitizama hao hao madaktari bingwa waliokuwa wachache muda wa miaka kumi ni mingi kazini wanaweza kufanya kazi then baada ya hapo wakawa wakufunzi katika vyuo vikuu vya madaktari hapa nchini na wakasaidia kuzalisha madaktari bingwa wengine wengi, Mbona ni swala linalowezekana kama serikali ikiamua.
sasa ndugu nikuulize,

Deni la bodi ya mikopo atalipa nani kama nikiajiriwa kwa miaka 10 tu?

Kwa kweli ukipewa kitengo cha kutunga sera za uchumi na Siasa utatenguliwa mapema sana
 
Hapa lengo ni lipi kwamba ufanisi?, Wote tupate? Au nini?

Kama umechukulia kama njia ya kuongeza ufanisi kiutendaji ni kwambie hakuna positive impact utapata

Kama ni kusema wote tupate? Jibu ni jepesi,hakuna taifa lolote chini ya jua ambalo watu wake wako katika madaraja sawa.Wapo ambao watapata na wakukosa pia.

Sijui uliwaza nini, lakini hakuna uwiano sawa kati ya mda uliowekeza kwa huyo mtu na time uliyoweka mtu huyo kuproduce(Someone has to spend 17+ years in training and ask them to produce for 10 years only.Don't you see mismatch here?Will you profit from your investment?) Au mada yako ni kuongelea ubinafsi wa mtu nasio kwa malengo ya wengi
 
Hapa lengo ni lipi kwamba ufanisi?, Wote tupate? Au nini?

Kama umechukulia kama njia ya kuongeza ufanisi kiutendaji ni kwambie hakuna positive impact utapata

Kama ni kusema wote tupate? Jibu ni jepesi,hakuna taifa lolote chini ya jua ambalo watu wake wako katika madaraja sawa.Wapo ambao watapata na wakukosa pia.

Sijui uliwaza nini, lakini hakuna uwiano sawa kati ya mda uliowekeza kwa huyo mtu na time uliyoweka mtu huyo kuproduce(Someone has to spend 17+ years in training and ask them to produce for 10 years only.Don't you see mismatch here?Will you profit from your investment?) Au mada yako ni kuongelea ubinafsi wa mtu nasio kwa malengo ya wengi
Bullshit 😡
 
Tafuta kazi ya kufanya achana hizi fikra za kibinafsi ,acha aliyepata afanye kazi.Hizi habari za tugawane keki ya taifa unajidanganya

Anyway,wewe unamchango gani katika hili taifa tofauti na hiyo indirect tax(VAT) unalipa?Sasa kama kodi yenyewe unalipa hii ya added value tax,hii keki unayotaka mgawane ni hipi?
We umeajiriwa that’s why unaongea hivyo hujui watu wanavyopitia magumu na wamegharamia elim zao pia, ukiniuliza me nnamchango gani na wewe unamchango upi tofauti na hiyo uliyosema hapo!?

Cha tofauti kati yangu me na wewe ni kwamba we upo ni position monger, hutaki kuachia nafasi wengine na hujajipanga kustaafu mana unajua huna mida specific wa kukaa kwa office uliyopo.

Wacha tuongee huenda ipo siku Sauti zetu zitafika pale ambapo tunahitaji, leo Kuleni tu ila aliyemleta JPM atamleta mwingine mwenye maamuzi ya kiume zaidi na mtatafutana tu, mmekuwa waroho wa mali za umma, mmejawa hila tamaa na ubadhilifu pamoja na dharau.

Ety fanya kazi Acha aliepata apate kauli ya kipuuzi mno hii.
 
We umeajiriwa that’s why unaongea hivyo hujui watu wanavyopitia magumu na wamegharamia elim zao pia, ukiniuliza me nnamchango gani na wewe unamchango upi tofauti na hiyo uliyosema hapo!?

Cha tofauti kati yangu me na wewe ni kwamba we upo ni position monger, hutaki kuachia nafasi wengine na hujajipanga kustaafu mana unajua huna mida specific wa kukaa kwa office uliyopo.

Wacha tuongee huenda ipo siku Sauti zetu zitafika pale ambapo tunahitaji, leo Kuleni tu ila aliyemleta JPM atamleta mwingine mwenye maamuzi ya kiume zaidi na mtatafutana tu, mmekuwa waroho wa mali za umma, mmejawa hila tamaa na ubadhilifu pamoja na dharau.

Ety fanya kazi Acha aliepata apate kauli ya kipuuzi mno hii.
Hacha kupoteza muda hicho kitu hakiwezekani, serikali haina hella ya kuwalipa na kwenye hesabu za uchumi hilo haliwezekani. Wewe tia juhudi na muombe Mungu upate ajira.
 
Tafuta kazi ya kufanya achana hizi fikra za kibinafsi ,acha aliyepata afanye kazi.Hizi habari za tugawane keki ya taifa unajidanganya

Anyway,wewe unamchango gani katika hili taifa tofauti na hiyo indirect tax(VAT) unalipa?Sasa kama kodi yenyewe unalipa hii ya added value tax,hii keki unayotaka mgawane ni hipi?
Hii kauli sitoiacha nitaplead sana tu na nitazisema waajiriwa wapewe mda specific wa kufanya kazi tupishane, we unataka kuhold possession kwa zaidi ya miaka 30+ kwani hiyo office ulijengewa wewe na familia yako?

If ni kwaajili ya public lets public be benefited kwa wote.

Kama ni uzoefu na utaalam ndy mana kuna interviews na selection ya wafanyakazi.

Kila mwenye criteria zinazohitajika kupata kazi apewe kazi kulingana na utaalam wake, tupishaneni kwenye hizo offices wote ni watanzania asee 🇹🇿
 
We umeajiriwa that’s why unaongea hivyo hujui watu wanavyopitia magumu na wamegharamia elim zao pia, ukiniuliza me nnamchango gani na wewe unamchango upi tofauti na hiyo uliyosema hapo!?

Cha tofauti kati yangu me na wewe ni kwamba we upo ni position monger, hutaki kuachia nafasi wengine na hujajipanga kustaafu mana unajua huna mida specific wa kukaa kwa office uliyopo.

Wacha tuongee huenda ipo siku Sauti zetu zitafika pale ambapo tunahitaji, leo Kuleni tu ila aliyemleta JPM atamleta mwingine mwenye maamuzi ya kiume zaidi na mtatafutana tu, mmekuwa waroho wa mali za umma, mmejawa hila tamaa na ubadhilifu pamoja na dharau.

Ety fanya kazi Acha aliepata apate kauli ya kipuuzi mno hii.
Trust me! Niwe nafanya kazi(employed) au sifanyi kazi(unemployed)lakini hii mentality yenu(hasa wewe) sio kweli

Man hakuna siku wote tutapata ata kila mtu akihudumu kwenye position yake mwezi mmoja.Pili,hii roho unakuwa nayo si kwa sababu unataka kuona positive change hamna ila ni kwa sababu na wewe unataka upate si ndio?(kama jibu ni ndio basi tafuta,mazingira yako fair kiasi kwamba unaweza kufikia pale unapotaka)

Hakuna siku utamuona tena huyo JPM(RIP) mwingine kama unavyofikiria.Haya maombi yenu ni ya kibinafsi na sio kwa ajili ya tija kwa wote.Simple test,hivi wewe binafsi unaona una-fit sehemu gani ambayo unaona aliyepo kwenye hiyo position akitolewa utafanya tofauti?
 
Back
Top Bottom