Ajira ngumu jamani

You don't need to panic, you have so many options to make your daily life better and better. Think critically, tuna janga la kitaifa katika kila idara, why don't you try to come up with an idea?

How many options have you tried to change the situation you have au ndiyo unaapply kazi na kusubiri kuitwa kwenye interview? Ofcourse kazi its just the matter of time, ila kwa vile unaukata wa siku nyingi ndo maana unaona umechoka kukaa bila ajira. Na kama ulifanya vizuri homework zako, you have the social-network as your first capital, use it.

Ushauri wangu: Unatakiwa kufahamu kuwa kazini ni jela zaidi kuliko kuwa huru na kujiamulia mambo yako mwenyewe. Acha kusubiri ajira, tafuta pa kuanzia huku ukilenga mbali zaidi. Sometimes you have to create a problem and solve it. It takes a time to realize that being employed by a company or an institution doesn't make someone financialy free.

Comeon dude, change your way of thinking and look for opportunity in a right way.
 
NI rahisi zaidi kama ukiamua kujiajiri.............. mawazo ya kutegemea kuajiriwa ni potofu
 
You don't need to panic, you have so many options to make your daily life better and better. Think critically, tuna janga la kitaifa katika kila idara, why don't you try to come up with an idea?

How many options have you tried to change the situation you have au ndiyo unaapply kazi na kusubiri kuitwa kwenye interview? Ofcourse kazi its just the matter of time, ila kwa vile unaukata wa siku nyingi ndo maana unaona umechoka kukaa bila ajira. Na kama ulifanya vizuri homework zako, you have the social-network as your first capital, use it.

Ushauri wangu: Unatakiwa kufahamu kuwa kazini ni jela zaidi kuliko kuwa huru na kujiamulia mambo yako mwenyewe. Acha kusubiri ajira, tafuta pa kuanzia huku ukilenga mbali zaidi. Sometimes you have to create a problem and solve it. It takes a time to realize that being employed by a company or an institution doesn't make someone financialy free.

Comeon dude, change your way of thinking and look for opportunity in a right way.

Soma vizuri bandiko la jamaa hapo juu. Kuna majibu hapo.
 
pole sana,i totally understand ur situation!!!try gettin involved na social gatherings like going to church/mosque/respectable places,ul meet peolple thr who will like u n employ u smwhr,that is one option u can take.And dnt be selective na sio lazima upate kazi of ur profession,ul get a better job once u av a job!!!
Try kazi za sales in banks,from thr ul meet potential clients who will then hire u for a better position
 
Kijana unajua kitu kinaitwa "Positive Confession''? Hebu jaribu maana kwa jinsi ulivyosema ni kwamba....umetegwa na maneno ya kinywa chako mwenyewe.. Sasa utapataje kazi wakati wewe mwenyewe unasema hakuna kazi. Ili upate kazi lazima pawe na kazi.

Sasa sema kazi zipo nyingi saaaaana, ila mimi nataka kazi hii........................(tamka) halafu ingia mtaani kuitafuta. Could be ajira binafsi au ya kujiariwa.

Kama unataka ya kuajiriwa? Je una shahada ya Uchumi, Fedha au Biashara? unamudu kiasi kiingereza. Je uko tayari kufanya kazi Msumbiji? kama ndio ni PM

NB. Msumbiji: Cabo Delgado au Sofala
 
Kijana unajua kitu kinaitwa &quot;Positive Confession''? Hebu jaribu maana kwa jinsi ulivyosema ni kwamba....umetegwa na maneno ya kinywa chako mwenyewe.. Sasa utapataje kazi wakati wewe mwenyewe unasema hakuna kazi. Ili upate kazi lazima pawe na kazi. <br />
<br />
Sasa sema kazi zipo nyingi saaaaana, ila mimi nataka kazi hii........................(tamka) halafu ingia mtaani kuitafuta. Could be ajira binafsi au ya kujiariwa.<br />
<br />
Kama unataka ya kuajiriwa? Je una shahada ya Uchumi, Fedha au Biashara? unamudu kiasi kiingereza. Je uko tayari kufanya kazi Msumbiji? kama ndio ni PM<br />
<br />
NB. Msumbiji: Cabo Delgado au Sofala
<br />
<br />
mkuu ntambaswala,nami niko tayar kufanya kaz popote,nina BSc in Human Nutrition,nipe dili kaka
 
Kijana unajua kitu kinaitwa &quot;Positive Confession''? Hebu jaribu maana kwa jinsi ulivyosema ni kwamba....umetegwa na maneno ya kinywa chako mwenyewe.. Sasa utapataje kazi wakati wewe mwenyewe unasema hakuna kazi. Ili upate kazi lazima pawe na kazi. <br />
<br />
Sasa sema kazi zipo nyingi saaaaana, ila mimi nataka kazi hii........................(tamka) halafu ingia mtaani kuitafuta. Could be ajira binafsi au ya kujiariwa.<br />
<br />
Kama unataka ya kuajiriwa? Je una shahada ya Uchumi, Fedha au Biashara? unamudu kiasi kiingereza. Je uko tayari kufanya kazi Msumbiji? kama ndio ni PM<br />
<br />
NB. Msumbiji: Cabo Delgado au Sofala
<br />
<br />
mkuu ntambaswala,nami niko tayar kufanya kaz popote,nina BSc in Human Nutrition,nipe dili kaka
 
You don't need to panic, you have so many options to make your daily life better and better. Think critically, tuna janga la kitaifa katika kila idara, why don't you try to come up with an idea? <br />
<br />
How many options have you tried to change the situation you have au ndiyo unaapply kazi na kusubiri kuitwa kwenye interview? Ofcourse kazi its just the matter of time, ila kwa vile unaukata wa siku nyingi ndo maana unaona umechoka kukaa bila ajira. Na kama ulifanya vizuri homework zako, you have the social-network as your first capital, use it.<br />
<br />
Ushauri wangu: Unatakiwa kufahamu kuwa kazini ni jela zaidi kuliko kuwa huru na kujiamulia mambo yako mwenyewe. Acha kusubiri ajira, tafuta pa kuanzia huku ukilenga mbali zaidi. Sometimes you have to create a problem and solve it. It takes a time to realize that being employed by a company or an institution doesn't make someone financialy free. <br />
<br />
Comeon dude, change your way of thinking and look for opportunity in a
 
i totally agree with you, if you want to be financial free then usisubiri kuajiriwa kaka, mm nafanya kazi bank lakini ukweli ni kwamba kama nitaendelea kuwa hapo let say hadi nastaafu pension yangu haitafika hata mil 50, but kuna watu ambao wamejiari wanaingiza hizo hela kwa muda mfupi, so my advice to you is use your head there are so many opportunities dont go along with the crowd and try to keep up with the joneses, tafuta kitabu kinaitwa rich dad poor dad by robert kayosaki, goodluck and remember for every effort there is a reward
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom