Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba kuna majina ya walimu walioajiriwa miaka ya nyuma yaliingizwa kimakosa kwenye orodha ya majina ya walimu wapya walioajiriwa mwaka huu, hali kadhalika kuna majina ya walimu wapya hayakuwekwa kwenye orodha hiyo ya ajira, hivyo kuna marekebisho yanafanyika na orodha itatoka hivi karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.