Ajira mpya uhamiaji; Naombeni ushauri wenu

GANA BANKS

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
598
853
Habari za wakati huu wakuu,kama "heading" inavyojieleza maana hata maandiko ya vitabu vitakatifu vilisisitiza kutokutegemea akili yako pekee.

Nimekuja kuomba ushauri Je,niombe tena hizi ajira za uhamiaji au napoteza muda na pesa(Ninapozungumzia pesa nazungumzia mambo kadhaa kama stationary,kupita kwa wanasheria na Serikali za Mitaa ili kuacha chochote kitu) kama ilivyokuwa hapo awali Maana hizi ajira zimekuja kwa mara ya pili,ila kwa mara ya kwanza niliangukia pua.

Ushauri wenu na mawazo yenu nadhani yatanijenga zaidi.

Naomba kuwasilisha,Natanguliza shukrani za kipekee kwenu.

Mtaniwia radhi kwa uandishi M-bovu ila ujumbe nimeufikisha vyema.
 
Habari za wakati huu wakuu,kama "heading" inavyojieleza maana hata maandiko ya vitabu vitakatifu vilisisitiza kutokutegemea akili yako pekee.

Nimekuja kuomba ushauri Je,niombe tena hizi ajira za uhamiaji au napoteza muda na pesa(Ninapozungumzia pesa nazungumzia mambo kadhaa kama stationary,kupita kwa wanasheria na serikali za mitaa ili kuacha chochote kitu) kama ilivyokuwa hapo awali Maana hizi ajira zimekuja kwa mara ya pili,ila kwa mara ya kwanza niliangukia pua.

Ushauri wenu na mawazo yenu nadhani yatanijenga zaidi.
Naomba kuwasilisha,Natanguliza shukrani za kipekee kwenu.

Mtaniwia radhi kwa uandishi M-bovu ila ujumbe nimeufikisha
Nimetuma maombi na kufanya interview sehemu mbalimbali tangu Namaliza Chuo 2015, Sikukata Tamaa nimekuja kubahatika November 2021 kupata kazi tena kazi niliyopenda kuifanya na kwenye Taasisi yenye mshahara mnono.
Washikaji nikikutana nao sahvi wanasema uvumilivu wangu siyo wa kawaida.
Wewe kwanini ukate Tamaa mapema hivi.
 
Nimetuma maombi na kufanya interview sehemu mbalimbali tangu Namaliza Chuo 2015, Sikukata Tamaa nimekuja kubahatika November 2021 kupata kazi tena kazi niliyopenda kuifanya na kwenye Taasisi yenye mshahara mnono.
Washikaji nikikutana nao sahvi wanasema uvumilivu wangu siyo wa kawaida.
Wewe kwanini ukate Tamaa mapema hivi.
Ahsante sana brother
 
Habari za wakati huu wakuu,kama "heading" inavyojieleza maana hata maandiko ya vitabu vitakatifu vilisisitiza kutokutegemea akili yako pekee.

Nimekuja kuomba ushauri Je,niombe tena hizi ajira za uhamiaji au napoteza muda na pesa(Ninapozungumzia pesa nazungumzia mambo kadhaa kama stationary,kupita kwa wanasheria na Serikali za Mitaa ili kuacha chochote kitu) kama ilivyokuwa hapo awali Maana hizi ajira zimekuja kwa mara ya pili,ila kwa mara ya kwanza niliangukia pua.

Ushauri wenu na mawazo yenu nadhani yatanijenga zaidi.

Naomba kuwasilisha,Natanguliza shukrani za kipekee kwenu.

Mtaniwia radhi kwa uandishi M-bovu ila ujumbe nimeufikisha vyema.
Hivi inakuwaje Uhamiaji wanahitaji watu wa fani zote kama wapishi, wapigamziki, waimbaji, wapaka rangi n.k. Ikoje hii? Au mimi nina tangazo lingine? Naomba msaada wadau.
 
Habari za wakati huu wakuu,kama "heading" inavyojieleza maana hata maandiko ya vitabu vitakatifu vilisisitiza kutokutegemea akili yako pekee.

Nimekuja kuomba ushauri Je,niombe tena hizi ajira za uhamiaji au napoteza muda na pesa(Ninapozungumzia pesa nazungumzia mambo kadhaa kama stationary,kupita kwa wanasheria na Serikali za Mitaa ili kuacha chochote kitu) kama ilivyokuwa hapo awali Maana hizi ajira zimekuja kwa mara ya pili,ila kwa mara ya kwanza niliangukia pua.

Ushauri wenu na mawazo yenu nadhani yatanijenga zaidi.

Naomba kuwasilisha,Natanguliza shukrani za kipekee kwenu.

Mtaniwia radhi kwa uandishi M-bovu ila ujumbe nimeufikisha vyema.
Ajira za sasa ni za ushindani mkubwa. Kwenye andiko lako la wasifu ukikosea hata usahihi wa neno moja kisha kukawa na mtu mliyegongana naye sifa basi kukosea usahihi wa neno kunaweza kukutoa nje.

Mfano mpaka sasa nimeshakutoa nje kwenye neno stationary. Hii humaanisha hauko makini kutofautisha stationary na stationery. Ila endelea kutuma maombi bahati ikifika vipengele hivi vya kumtathmini mtu havitakuwa na msingi.
 
Habari za wakati huu wakuu,kama "heading" inavyojieleza maana hata maandiko ya vitabu vitakatifu vilisisitiza kutokutegemea akili yako pekee.

Nimekuja kuomba ushauri Je,niombe tena hizi ajira za uhamiaji au napoteza muda na pesa(Ninapozungumzia pesa nazungumzia mambo kadhaa kama stationary,kupita kwa wanasheria na Serikali za Mitaa ili kuacha chochote kitu) kama ilivyokuwa hapo awali Maana hizi ajira zimekuja kwa mara ya pili,ila kwa mara ya kwanza niliangukia pua.

Ushauri wenu na mawazo yenu nadhani yatanijenga zaidi.

Naomba kuwasilisha,Natanguliza shukrani za kipekee kwenu.

Mtaniwia radhi kwa uandishi M-bovu ila ujumbe nimeufikisha vyema.
Wewe Kama mm nilikata tamaa Kabisa ila nimeomba japo bado nasubiri huku nione nitakubaliwa au laa
 
Ajira za sasa ni za ushindani mkubwa. Kwenye andiko lako la wasifu ukikosea hata usahihi wa neno moja kisha kukawa na mtu mliyegongana naye sifa basi kukosea usahihi wa neno kunaweza kukutoa nje.

Mfano mpaka sasa nimeshakutoa nje kwenye neno stationary. Hii humaanisha hauko makini kutofautisha stationary na stationery. Ila endelea kutuma maombi bahati ikifika vipengele hivi vya kumtathmini mtu havitakuwa na msingi.

Sielewi umemshauri nn hapa?
 
Kumaliza chui 2011 kuoata ajira 2015 five yrs nasota na mainterview na mabarua everywhere now nimeshasahu kika kitu nakula zangu bier tu . Uvumilivu ndo kila kitu pia usisahau na maombi kwa sir God
 
Kuwa mtu wa matumaini na kujiwazia mema hata kama uko kwenye jali ngumu namna gani. Hiyo peke yake inakufanya mawazo yako yawe kwenye hali ya utayari wa kupokea jambo.

Ukishakata tamaa, hata uone fursa ya aina gani, hautotilia maanani na inakua chanzo cha kuharibu maeneo mengine ya maisha.

Kama unaweza, omba tena hiyo nafasi ikiwa vigezo vyote unavyo.
Nimewahi kufanya kazi sehem wanaotakiwa wenye degree tu, ila nilifanya kazi hadi siku naondoka wakasema nikitaka kurudi milango iko wazi, nikawatania lakini sera ya hapa inataka mtu awe na degree..." Your case is exceptional ".

Usikate tamaa kabisa mkuu. Wakati utafika tu.
 
Back
Top Bottom