Ajira kwa kozi za Public Administration na Human Resources

Kozi yenye nafasi nyingi za kazi hapa TZ ni ACCOUNTING & FINANCE.
45% ya matangazo ya kazi zinahusiana na hapo. Kama ungepata mshauri mzuri ungejikita huko. Wahitimu ni wengi ila pia kazi ni nyingi
 
Kozi yenye nafasi nyingi za kazi hapa TZ ni ACCOUNTING & FINANCE.
45% ya matangazo ya kazi zinahusiana na hapo. Kama ungepata mshauri mzuri ungejikita huko. Wahitimu ni wengi ila pia kazi ni nyingi
Kozi zenye nafasi nyingi ni za Afya,uhandisi,tiba ya mifugo,ualimu wa sayansi,upimaji ardhi na ramani,usanifu majengo,
Kwenye accounting ni hadi uwe CPA ndiyo ajira angalau zinaonekana.
 
Kozi zenye nafasi nyingi ni za Afya,uhandisi,tiba ya mifugo,ualimu wa sayansi,upimaji ardhi na ramani,usanifu majengo,
Kwenye accounting ni hadi uwe CPA ndiyo ajira angalau zinaonekana.
Sio kweli afya hiyo wapi? Uhandisi huo wa nini? Maji, umeme au nn... Accounting and finance inatoboleka kwa urahisi
 
Sio kweli afya hiyo wapi? Uhandisi huo wa nini? Maji, umeme au nn... Accounting and finance inatoboleka kwa urahisi
Hizo taaluma zina watu wengi sana kuliko mahitaji, mahitaji ya sasa ni CPAS kwa wing I ndiyo kuna shortage,
Fani za sayansi bado kuna uhitaji mkubwa kuliko kada yoyote ile
 
Saivi wasomi wapo kila sehemu afya wapo kama utitili, kozi nzuri connections tuu mjini ukiona huna soma kozi ya kujiajili mengine yatakuja mbeleni tuu.
 
Saivi wasomi wapo kila sehemu afya wapo kama utitili, kozi nzuri connections tuu mjini ukiona huna soma kozi ya kujiajili mengine yatakuja mbeleni tuu.
Unataka kusema utitiri wa degree za udaktari, diploma za afya ni sawa na utitiri wa degree na diploma za uhasibu?
 
Unataka kusema utitiri wa degree za udaktari, diploma za afya ni sawa na utitiri wa degree na diploma za uhasibu?

Apana hazilingani ila ajira nazo sio nyingi kama unavyo fikiria awamu hii, CO ni wengi kama utitiri saivi ila finance ni kiboko, uzuri wa finance kila sehemu yupo iwe hospital, bank, tra kazi ni nyingi sana.

Wale madaktari buku washukuru corona, apo na batch nyingine inaingia kitaa, soma miaka 5 utakuta wangapi badae
 
Soko la ajira limekaaje kwa sasa kwa hizi kozi za Public Admnistration and Human Resource Management.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi sasa hivi kwa Tanzania ni mchongo tu ila ukiwa bado unasoma ndo unakuwa na imagination kibao nasoma HGL,HGK,HKL NK ili nije niwe nani? Selection za form 5 zimetoka mdogo wangu alikuwa na ndoto kusoma PCB au PCM lakini hakufaulu ktk level inayostahili kachaguliwa HGL ananiuliza eti kaka nasoma HGL nije niwe nani? Nikamwambia nenda kasome ufaulu ,uende chuo nitakwambia kozi ya kusoma halafu ajira nitajua mbele ya safari
 
Back
Top Bottom