DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,882
20% ya mshahara wa kwanza au kila mshahara?Kwa wanaohotaji kazi ng'ambo ya nchi.
Wanahitajika watu wa kazi zifuatazo taasisi mbalimbali nchini KUWAIT.
1. Cleaners ( 100 )
2. Security Guard ( 80 )
3. Light drivers ( 50 )
Kampuni inatoa huduma zifuatazo;
+ Accommodation
+ Transport
+ Medical Insurance
+ Ticket
+ No food
+ 2 years contract
Mshahara sio chini ya 190KD kwa hizo kazi.
Sharti
1. Uwe na pass ya kusafiria
2. Utalipia gharama ya 20% ya mshahara wako kwa wakala wa ajira baada ya VISA na MKATABA WA KAZI kutoka kabla ya kusafiri.
Karibu.