mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Wasalaaaam!!
Hizi nafasi za ajira zilizotangazwa na Serikali tar 9/5/2021 zimetoa mwanga ni kwa namna gani vijana wengi wamehitimu na hawana kazi wako mitaani na wengine wakijitolea katika ofisi mbalimbali!
Inastaajabisha kuona watu 120k kwa sekta mbili tu wakitifuana katika soko la ajira za serikali huku demand ya serikali ikiwa 9k, vipi walio jobless na wako katika sectors nyinginezo tofauti na afya na elimu?
Kuna haja ya serikali kuangalia upya hili suala la ajira, huku ikizingatia kutoa sera na mitaala inayowawezesha vijana kujiajiri moja kwa moja kuliko kusubiria kujiariwa!
Hizi nafasi za ajira zilizotangazwa na Serikali tar 9/5/2021 zimetoa mwanga ni kwa namna gani vijana wengi wamehitimu na hawana kazi wako mitaani na wengine wakijitolea katika ofisi mbalimbali!
Inastaajabisha kuona watu 120k kwa sekta mbili tu wakitifuana katika soko la ajira za serikali huku demand ya serikali ikiwa 9k, vipi walio jobless na wako katika sectors nyinginezo tofauti na afya na elimu?
Kuna haja ya serikali kuangalia upya hili suala la ajira, huku ikizingatia kutoa sera na mitaala inayowawezesha vijana kujiajiri moja kwa moja kuliko kusubiria kujiariwa!