Tody's vision
Member
- Sep 10, 2011
- 14
- 2
Wadau nataka kujiunga na jeshi na cjui nianzie wapi na nielekee wapi na kwa nani. m2 yeyote mwenye kujua taratibu za kujiunga na jeshi na zinapatikana wapi taarifa zao tafadhali tujuzane. mimi ni muhitimu wa chuo kikuku taaluma ya mifumo ya cmputer