Jamii sasa imebadilika sana na milango ya ajira imepanuliwa kiasi cha kutosha. Hivi sasa ajira nyingi zilizoitwa uhuni miaka ya nyuma ndizo zinazolipa. Sana.
Ajira rasmi za Serikali heshima yake inazidi kushuka kwani malipo yake ni kiduchu sana. Hatujafikia hatua ya ku legalise ukahaba, lakini kama ungeruhusiwa, nafikiri makahaba wangekuwa na mapato makubwa zaidi kuliko wafanyazi wengi wa umma.
Pamoja na kwamba baadhi wametumia miaka mingi kusoma wafanyazi hasa wa umma hawapati mishahara ya kutosha na hivyo kusoma kwao kuonekana hakuna maana. Badala ya kuboresha maslahi ya wafanyazi, Serikali imekuwa nikipiga blabla kila siku kila mwaka.
Hivi sasa watu waliokuwa wakishika mkia darasani wanapata kipato mara dufu ya wale waliokuwa wakipata A nk.... Ukweli ni kwamba hadhi ya wafanyazi kama walimu, manesi, polisi, mgambo, makarani nk inazidi kushuka? Why? Kipato chao duni. Ndio maana baadhi ya watu wanaojiita kwenye siasa. Si ndiko Serikali imewekeza zaidi!!! ___ Kumbuka the lousy chaguzi za marudio zilivyotumbua mabilioni.
Hii inawavunja sana moyo na ndio maana baadhi wanajiingiza kwenye ubadhilifu. Bila kumpenda mara nyingi!
Kwa kweli siku hizi kukubali kuajiriwa kama polisi, mwalimu, nesi, mwanahabari, mwanajeshi ay karani ni kukubali kufunga pingu za maisha na umaskini. Huwezi kuukwepa umasikini katika nyanja hizi.
Kwa kuwa lazima watu kama walimu na polisi lazima wawepo katika mfumo wa jamii, basi either Serikali iwekeze kwenye maslahi yao seriously au watumishi hawa wachukue 'nadhiri' ya ufukara....!!
Ajira rasmi za Serikali heshima yake inazidi kushuka kwani malipo yake ni kiduchu sana. Hatujafikia hatua ya ku legalise ukahaba, lakini kama ungeruhusiwa, nafikiri makahaba wangekuwa na mapato makubwa zaidi kuliko wafanyazi wengi wa umma.
Pamoja na kwamba baadhi wametumia miaka mingi kusoma wafanyazi hasa wa umma hawapati mishahara ya kutosha na hivyo kusoma kwao kuonekana hakuna maana. Badala ya kuboresha maslahi ya wafanyazi, Serikali imekuwa nikipiga blabla kila siku kila mwaka.
Hivi sasa watu waliokuwa wakishika mkia darasani wanapata kipato mara dufu ya wale waliokuwa wakipata A nk.... Ukweli ni kwamba hadhi ya wafanyazi kama walimu, manesi, polisi, mgambo, makarani nk inazidi kushuka? Why? Kipato chao duni. Ndio maana baadhi ya watu wanaojiita kwenye siasa. Si ndiko Serikali imewekeza zaidi!!! ___ Kumbuka the lousy chaguzi za marudio zilivyotumbua mabilioni.
Hii inawavunja sana moyo na ndio maana baadhi wanajiingiza kwenye ubadhilifu. Bila kumpenda mara nyingi!
Kwa kweli siku hizi kukubali kuajiriwa kama polisi, mwalimu, nesi, mwanahabari, mwanajeshi ay karani ni kukubali kufunga pingu za maisha na umaskini. Huwezi kuukwepa umasikini katika nyanja hizi.
Kwa kuwa lazima watu kama walimu na polisi lazima wawepo katika mfumo wa jamii, basi either Serikali iwekeze kwenye maslahi yao seriously au watumishi hawa wachukue 'nadhiri' ya ufukara....!!