Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Nimeona tangazo la ajira ya kujitolea kwenye NGO inaitwa Graduate International Organization(GIO) ambayo inaendesha programme inayoitwa Youth Awareness(YAP).
Mwenye Data zaidi na hii issue anitonye maana nimeomba wamekubali lakini wanataka pesa ya Mafunzo kias cha Elfu 30,sasa wasiwas wangu ni kuwa hii NGO ipo na je ni sawa kuchangia?Je kuna mdau yoyote humu jf amewah kufanya nao kazi?Hebu nijuzeni isije ikawa ni usanii tu.
Asanteni
Mwenye Data zaidi na hii issue anitonye maana nimeomba wamekubali lakini wanataka pesa ya Mafunzo kias cha Elfu 30,sasa wasiwas wangu ni kuwa hii NGO ipo na je ni sawa kuchangia?Je kuna mdau yoyote humu jf amewah kufanya nao kazi?Hebu nijuzeni isije ikawa ni usanii tu.
Asanteni