Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka? Yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
kuna tatizo mahala?
kuna tatizo mahala?