njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Haya haya amkeni buanaaaaa! Huko utopoloni mambo ni faya sana sema jamaa nawasifu jinsi walivyoweza kuyashikilia makanjanja wa nchi hii.
Kamwe hutasikia lolote baya kuhusu hawa jamaa kuanzia wale nyoka walioonekana kambini Kigamboni, lamine Moro kukunjana na daktari wa team kule Kigamboni, wacheza kutaka kumchapa kocha wa viungo na kugomea mazoezi magumu before match ya Simba yote yailikaushiwa na makanjanja.
Makanjanja wanaona ni bora ya discuss tweets za Mo Dewji kwa nusu saa nzima kuliko ku-discuss habari za Metacha Mnata kufukuzwa kambini kwa ulevi na kutukana wenzake au Ibrahim ajibu kulamba milion 45 kurudi huko vyura vyurani.
Kamwe hutasikia lolote baya kuhusu hawa jamaa kuanzia wale nyoka walioonekana kambini Kigamboni, lamine Moro kukunjana na daktari wa team kule Kigamboni, wacheza kutaka kumchapa kocha wa viungo na kugomea mazoezi magumu before match ya Simba yote yailikaushiwa na makanjanja.
Makanjanja wanaona ni bora ya discuss tweets za Mo Dewji kwa nusu saa nzima kuliko ku-discuss habari za Metacha Mnata kufukuzwa kambini kwa ulevi na kutukana wenzake au Ibrahim ajibu kulamba milion 45 kurudi huko vyura vyurani.