jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 820
Kwa wenye kumbukumbu wakati wa awamu ya nne ukifungukia taarifa ya habari, taarifa ya Kwanza ilikuwa inahusiana na ajali mara nyingi ilifika wakati ajali ziliibwa redioni kama wimbo wa taifa.
Awamu ya tano vyombo wa usafiri vilidhibitiwa kwa kiasi chake na mabasi ya mikoani yalifungwa Hadi vingora vya kutoa taarifa kipindi wanapozidisha kasi pindi wawapo safarini na madereva walikuwa wakibadilishana njiani ili kupata muda wa kupumzika
Cha ajabu sijui nini kimetokea sasa, ajali zimekuwa nyingi kila ukifungukia taarifa ya habari utausikia kuhusu ajali.
Jana nilipanda basi toka Igunga Tabora Hadi Morogoro, hysee lile basi lilikuwa linaendeshwa kwa kasi ya ajabu na haikupigwa mkono na askari wa njiani hadi tunafika morogoro.
Kweli kwa namna hii tutafika kweli au ndio wakati wa fungulia mbwa....
Awamu ya tano vyombo wa usafiri vilidhibitiwa kwa kiasi chake na mabasi ya mikoani yalifungwa Hadi vingora vya kutoa taarifa kipindi wanapozidisha kasi pindi wawapo safarini na madereva walikuwa wakibadilishana njiani ili kupata muda wa kupumzika
Cha ajabu sijui nini kimetokea sasa, ajali zimekuwa nyingi kila ukifungukia taarifa ya habari utausikia kuhusu ajali.
Jana nilipanda basi toka Igunga Tabora Hadi Morogoro, hysee lile basi lilikuwa linaendeshwa kwa kasi ya ajabu na haikupigwa mkono na askari wa njiani hadi tunafika morogoro.
Kweli kwa namna hii tutafika kweli au ndio wakati wa fungulia mbwa....