Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 214
Habari nilizozipata sasa hivi zinasema kuna ajili imetokea eneo la kitumbi wilaya ya handeni mkoani tanga , jana jioni na watu 7 wamefariki dunia hapo hapo huku wengine wakaendelea kufariki walipokuwa wanapelekwa hospitali na hospitali kwenyewe , wenyeji wahuko wanasema idadi inaweza kuongezeka zaidi kutokana na kutokupata huduma ya kwanza na huduma zingine za afya ambazo ziko mbali na eneo husika pia watu wa huduma ya kwanza hawajaweza kufika , ajali hiyo imehusisha magari mengine zaidi ya 3
Mpaka sasa hivi magari bado hajatolewa barabarani kwahiyo ni tishio kwa usalama wa wasafiri wengine katika barabara hiyo mtu mwenywe namba 0786 03 4444
Mpaka sasa hivi magari bado hajatolewa barabarani kwahiyo ni tishio kwa usalama wa wasafiri wengine katika barabara hiyo mtu mwenywe namba 0786 03 4444