Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
imetokea muda muda mfupi katika eneo la Kimwani-Muleba wakati likitoka Bukoba kwenda mwanza
idadi kamili ya waliokufa na kujeruhiwa mtajuzwa baadaye!
Update:
Watu 4 wamepoteza maisha papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya Basi la Minziro Kwetu lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Geita kupata ajali eneo la kona ya Kalongo,kijiji cha Kiziramuyaga Wilayani Muleba.
idadi kamili ya waliokufa na kujeruhiwa mtajuzwa baadaye!
Update:
Watu 4 wamepoteza maisha papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya Basi la Minziro Kwetu lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Geita kupata ajali eneo la kona ya Kalongo,kijiji cha Kiziramuyaga Wilayani Muleba.