Ajali ya Waziri Kigwangalla iwe eye opener kwa spidi za misafara ya viongozi

Mkuu! shida moja ya viongozi wetu ni kuona sheria za barabarani (na nyinginezo) zimewekwa kwa ajili ya wananchi na sio kwao!
Hata hao viongozi ni wananchi.
Wafuate sheria.
Pia wapitie machungu ya kuvuka mkoa wa Singida wenye 50kph zinazozidi kilomita mbili kwa kijiji chenye nyumba chache.
Wallahi Singida wana dhambi.

Unakuta kibao cha kuanza 50kph lakini cha kumaliza hakipo.
Baada ya vijiji vitatu unakamatwa eti bado uko ndani ya 50kph ya km tano nyuma.

Hii dhambi italipwa tu. Hao wanaotutesa kwa faini kwa speed 52 kph na tochi zao wao wanapeta zaidi ya 100kph eneo hilo hilo na magari ya serikali yanapaa kama roketi.
Hii si sawa.

Singida mjitafakari sana.
 
Hata hao viongozi ni wananchi.
Wafuate sheria.
Pia wapitie machungu ya kuvuka mkoa wa Singida wenye 50kph zinazozidi kilomita mbili kwa kijiji chenye nyumba chache.
Wallahi Singida wana dhambi.

Unakuta kibao cha kuanza 50kph lakini cha kumaliza hakipo.
Baada ya vijiji vitatu unakamatwa eti bado uko ndani ya 50kph ya km tano nyuma.

Hii dhambi italipwa tu. Hao wanaotutesa kwa faini kwa speed 52 kph na tochi zao wao wanapeta zaidi ya 100kph eneo hilo hilo na magari ya serikali yanapaa kama roketi.
Hii si sawa.

Singida mjitafakari sana.
Viongozi ni wananchi pia, lakini kwa dhana yao wanajiweka kuwa sio wananchi wa kawaida ei "waheshimiwa" wanachezea sheria wanavyotaka!
 
Hata hao viongozi ni wananchi.
Wafuate sheria.
Pia wapitie machungu ya kuvuka mkoa wa Singida wenye 50kph zinazozidi kilomita mbili kwa kijiji chenye nyumba chache.
Wallahi Singida wana dhambi.

Unakuta kibao cha kuanza 50kph lakini cha kumaliza hakipo.
Baada ya vijiji vitatu unakamatwa eti bado uko ndani ya 50kph ya km tano nyuma.

Hii dhambi italipwa tu. Hao wanaotutesa kwa faini kwa speed 52 kph na tochi zao wao wanapeta zaidi ya 100kph eneo hilo hilo na magari ya serikali yanapaa kama roketi.
Hii si sawa.

Singida mjitafakari sana.
Nimepita Singida, kuna kijiji kina kibao cha 20km/hr!
Ndio sheria.
 
Viongozi ni wananchi pia, lakini kwa dhana yao wanajiweka kuwa sio wananchi wa kawaida ei "waheshimiwa" wanachezea sheria wanavyotaka!

Hawa ni wa kuwakomalia dhamana yao wao kuwa viongozi wanaipata kwetu ni makosa makubwa wao ku abuse trust hiyo hata kutuweka na siye akina yakhe hatarini.
 
Back
Top Bottom