Ajali ya Waziri Kigwangalla iwe eye opener kwa spidi za misafara ya viongozi

halafu abiria wa mabasi tunalazwa standi za mabasi usiku kwa mabasi kufika usiku mono na kushindwa kwenda makwetu. basi toka Dar kwenda Songea badala ya kufika saa mbili kama lingetembea walau speed 100 kwa saa na kuruhusiwa kuanza safari saa 11 alfajiri, tunatembezwa a mazimum of 80 km/h na kila penye kibanda kuna speed limit ya 50 km/h, halafu ukaguzi kila mji.mizani zote mabasi yanapima na kupoteza muda mwingi ( mfano basi linapima mizani mbele ya mlandizi, halafu tena karibia morogoro, halafu mikumi, kisha mikumi, halafu iringa, makambako, halafu songea na kila mizani basi linatumia si chinii ya dakika 15) nchi hii tunaenda wapi jamani?Mbona mambo haya hakuna nchi nyingine duaniani?

Mkuu umenena vyema sana. Ni vizuri wakajua pasi na shaka hatuwaungi mkono kwa spidi hizi restrictions za spidi kwa mabasi.

Ilikuwa jambo la kheri kuona nchi zingine kukosea vipi.

Uhakika sote tungejipanga sawa mbele ya sheria tungekuwa na sheria muafaka (no wonder and without being a prophet) indeed hawa hawa wanaotulaza majiani kwa kushinikiza 80km/h na 50km/h wangependekeza twende angalau 100km/h na 60km/h respectively.

Badala ya kuwataka ku uplift hizi zingine tupiganie usawa kwenye sheria. Kitaeleweka tu.
 
..vyombo vyetu vya usalama viamke sasa na hii threat ya viongozi kuweza kujimaliza wenyewe kwa mwendo kasi usio wa lazima.
Bahati mbaya sana wanaofariki ni watu baki wasio na hatia. Hao viongozi wengi wamejilinda kwa nguvu za ziada...
 
halafu abiria wa mabasi tunalazwa standi za mabasi usiku kwa mabasi kufika usiku mono na kushindwa kwenda makwetu. basi toka Dar kwenda Songea badala ya kufika saa mbili kama lingetembea walau speed 100 kwa saa na kuruhusiwa kuanza safari saa 11 alfajiri, tunatembezwa a mazimum of 80 km/h na kila penye kibanda kuna speed limit ya 50 km/h, halafu ukaguzi kila mji.mizani zote mabasi yanapima na kupoteza muda mwingi ( mfano basi linapima mizani mbele ya mlandizi, halafu tena karibia morogoro, halafu mikumi, kisha mikumi, halafu iringa, makambako, halafu songea na kila mizani basi linatumia si chinii ya dakika 15) nchi hii tunaenda wapi jamani?Mbona mambo haya hakuna nchi nyingine duaniani?


Mkuu umenena vyema kabisa.

Hata hivyo ni vyema tukawa wazi kuwa tatizo lilopo kutokana na kutokuwepo usawa katika sheria hizi za barabarani, wengine adha hizi haziwakuti.

Tupiganie haki sawa barabarani hawa hawa wanaojinasibu na miendo isiyo ukomo watapigania kuwepo kwa mazingira yafaayo.

Kwa hali ya sasa hii ni mkuki kwa nguruwe tu.
 
Madereva wa wizara na viongozi wengine wanatakiwa wapewe mafunzo maalum ya mwendo kasi..ili kuokoa muda wa viongozi kukaa barabarani,yako mafunzo maalum ya namna ya kulidhibiti gari ukiwa katika mwendo mkali.

Mafunzo mengine ni namna ya kukwepa ambush za wahalifu na majambazi.

Katika nchi zingine sheria ni msumemeno na hayupo aliye juu ya sheria. Kwa nini sote tusiwe sawa mbele ya sheria mkuu?
 
Madereva wa wizara na viongozi wengine wanatakiwa wapewe mafunzo maalum ya mwendo kasi..ili kuokoa muda wa viongozi kukaa barabarani,yako mafunzo maalum ya namna ya kulidhibiti gari ukiwa katika mwendo mkali.

Mafunzo mengine ni namna ya kukwepa ambush za wahalifu na majambazi.
Kwa nini waende kasi na kutoheshimu alama za barabarani?
 
Kwa nini waende kasi na kutoheshimu alama za barabarani?

Ama kweli ukiyastajabu ya mussa .. idhini hii ya kutoheshimu salama za barabarani imetokea wapi na inatendeka kwa baraka za nani?

Hapa ndipo palikuwa pa kuanzia.
 
Kama shida yako ni kichina nimekutafsiri thread, soma hapo chini:

现在由我们来决定我们在哪里拥有基础设施和各种“垃圾”;驴子在那里,消化洞,篮子,例如道路交通事故每隔几米设置一次“颠簸”,而不是设置低或上桥;解决方案是士兵躲在讲坛上并“吓唬”司机;出现这种情况的道路“子弹头”中心可能需要做,直到秋季活动将遵循的道路该承包商授予工作突然原来你认为土豆领域颠簸我看不出你如何能传达给100kph,但仍然可以保证您的安全的岁月!

注意:由于政府车是特殊的或从他们来自哪里,我没有看到要求他们有最大的困难。速度为80kph。这将不仅有助于拯救人物的生活又节约了车辆本身的成本,因为负担,纳税人是不小!即议会车标题#1,最大的litunge法律特征。速度是“领导规范车辆法十九分

***** we nyoko
 
View attachment 827533
FUNDISHO, tunalolipata katika ajali hii iliyompata mh. Kigwangala ni kubwa sana.
Magari haya Toyota Landcruiser V8, 8cylinder, iwe petrol au diesel zina mwendo hadi 260km/hr!
Hapa nchini sioni sehemu ambayo unaweza kwendesha gari bila bugudha hata 200km/hr.
Barabara zetu hazijasanifiwa kwa spidi zaidi ya 120~140km/hr.

Nikienda mikoani, hasa Dodoma, nimeona hayo magari yakipaa, literally!

Hata misafara ya viongozi wetu, tumeona huko mikoani spidi ya magari ni ya kutisha sana.
Sawa, polisi haiisumbui hii misafara na wakati mwingine wanawasafishia njia, lakini kuna watumiaji wa barabara kama wanyama (au hata watoto wadogo vijijini) ambao hawaelewi cha polisi wala msafara.

Vyombo vyetu vya usalama viamke sasa na hii threat ya viongozi kuweza kujimaliza wenyewe kwa mwendo kasi usio wa lazima.
You are correct and very right! Kuna kakikundi ka viongozi wa serikali kameamua kuacha kutii sheria za barabarani. Njia ya Dodoma-Dar kwa sasa kila mwenye gari la serikali huwasha taa kuashilia ana haraka, sababu ambayo sidhani kama imeandikwa kokote zaidi ya wale wenye kukimbia kuokoa maiasha ya watu. Bahati mbaya wamajichukulia kinga na kila anayefanya hivyo hakamatwi, hasimamishwi. Ni mwendo tu! Lakini barabara hiyo ni yetu wote, siyo viongozi tu!

Gari hizi hata kama spidi inafikia 260 km/hr haimaanishi akimbie hivyo. Odometer ipo kwa taarifa yako na si kwa kuidhinisha kuifikia spidi hiyo. Anayesikia asikie asiyetaka anayeona ni sifa kutokamatwa, aendelee. Tutatoa pole nyingi.
 
Kwanza hawa jamaa wanakwenda lini Dodoma? Nimekutana nao mjini mbio mbio hadi najiuliza wanaogopa nini na wanakimbizwa na nini? Mbaya zaidi wanatembelea upande mwingine wa barabara, badala ya ktumia kushoto, wanatumia kulia. Tarafiki wana kazi kweli kweli. Hawa jamaa ajali ndo zitakuwa mchungaji wao!!
 
View attachment 827533
FUNDISHO, tunalolipata katika ajali hii iliyompata mh. Kigwangala ni kubwa sana.
Magari haya Toyota Landcruiser V8, 8cylinder, iwe petrol au diesel zina mwendo hadi 260km/hr!
Hapa nchini sioni sehemu ambayo unaweza kwendesha gari bila bugudha hata 200km/hr.
Barabara zetu hazijasanifiwa kwa spidi zaidi ya 120~140km/hr.

Nikienda mikoani, hasa Dodoma, nimeona hayo magari yakipaa, literally!

Hata misafara ya viongozi wetu, tumeona huko mikoani spidi ya magari ni ya kutisha sana.
Sawa, polisi haiisumbui hii misafara na wakati mwingine wanawasafishia njia, lakini kuna watumiaji wa barabara kama wanyama (au hata watoto wadogo vijijini) ambao hawaelewi cha polisi wala msafara.

Vyombo vyetu vya usalama viamke sasa na hii threat ya viongozi kuweza kujimaliza wenyewe kwa mwendo kasi usio wa lazima.
Ingekuwa imetokea kwa mbunge wa chadema wanalumbumba chini ya boya mwita kama kawaida yao wangesema imetengenezwa na Mbowe ili huyo aliyepata ajali asigombee uenyekiti kama wanavyosema kuhusu shambulio la rusasi kwa Lissu
 
Kwanza hawa jamaa wanakwenda lini Dodoma? Nimekutana nao mjini mbio mbio hadi najiuliza wanaogopa nini na wanakimbizwa na nini? Mbaya zaidi wanatembelea upande mwingine wa barabara, badala ya ktumia kushoto, wanatumia kulia. Tarafiki wana kazi kweli kweli. Hawa jamaa ajali ndo zitakuwa mchungaji wao!!
Ha ha ha!
Matumizi ya barabara sasa ni kero kubwa kutokana na wrong use ya viongozi.
 
Mkuu jiongeze. Kinachoongelewa si misafara rasmi ambapo hata barabara husafishwa.
Nilichosema ni wapewe mafunzo maalumu ya kulidhibiti gari likiwa katika mwendo mkali,mfano mwingine angalia police chase katika nchi za wenzetu.
 
Nakubaliana na observation yako mkuu.
Hayo ma V8 ni flying coffins kama yakitumika vibaya.
Mimi naendesha moja(ni langu bwashee), ni gari hatari kama mtu huna self discipline.
Mawaziri, viongozi wengi bado vijana na wanapenda kujipima kwa kiki na self adrenaline.
Hizo gari ukikanyaga accelerator hata baada ya 120km/hr sensor zinazibua valve kuongeza mafuta, na gari inapaa utafikiri ndo intaka kutake off.
Mbaya zaidi engine power/vehicle weight ratio ni kubwa mno, na hivyo uzito wa gari kuwa mdogo sana kulingana na power kubwa ya engine ya gari gari.

Watu wa usalama kwa ujumla wake walitupie jicho tatizo hilo, amasivyo viongozi wataendelea kupata maafa yasiyo ya lazima.
Mkuu uko sahihi,kwanza viongozi wetu wamejipa exception kwenye sheria za barabarani, kwa hiyo wakiendesha speed ndogo wanajiona wanafanana na kabwela hivyo lazima waonyeshe tofauti! Wacha wapambane na hizo ajali, kwa sababu wapo juu ya sheria, wawe pia juu ya ajali!
 
Tatizo lingine ni hawa viongozi kuzunguka mikoani kila siku ili waonekane na mkubwa wanachapa kazi, ukiangalia kama huyu aliepata ajali (Mungu amponye na kumpa ahueni) amezurula almost nchi nzima ndani ya muda mfupi kama yeye mwenyewe alivyokua anatuambia kupitia social media "pori kwa pori" nina wasi wasi kama dreva hua anapata muda wa kupumzika, unakuta mtu kaunganisha wiki nzima yuko barabarani, mwenyewe yuko mmoja kwa nini asichoke na kudondosha gari, kama kutoka na basi dar mpaka mwanza madreva wanabadilishana huyu anaepika route ya Dar ,Dodoma, Arusha nenda rudi bila kupumzika lazima tu atadondosha gari.
Mkuu! shida moja ya viongozi wetu ni kuona sheria za barabarani (na nyinginezo) zimewekwa kwa ajili ya wananchi na sio kwao!
 
Back
Top Bottom