mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,355
- 653
Taarifa nimeipata muda huu, Treni ya abiria imenusurika kupata ajali mlima wa Salanda, baada ya kichwa kimoja cha treni kuwaka moto..
Source: mfanyakazi wa TRL
Source: mfanyakazi wa TRL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo jioni, Treni ya abiria ya
kutoka Dsm-Kigoma ilisimama ghafla ktk milima ya Saranda baada ya
kichwa cha treni kushika moto..ni juhudi tu za ziada za driver wa gari
moshi kuitenga injini na mabehewa zilizoepusha ajali kubwa
kutokea..majeruhi sikuweza kuona..
Hii itakua hujuma sababu juzi tu waziri katoka kukagua reli na Mwakyembe alifanya ukaguzi wa kushitukiza pande hizi. Uwajibikaji ungekuwepo basi mawaziri wote wa kikwete wote wangekua wamejiuzulu. Mungu atunusuru. poleni majeruhi.
Tanzania ni nchi ambayo haina mwelekeo no one care