Ajali ya treni dar

Charles Mkubya

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
206
159
Kuna ajali imetokea usiku karibu na mataa ya Chang'ombe ukitokea Karume ikihusisha Treni na Magari mawili ya abiria, moja ikiwa ni ya Mbagala na nyingine ya Tandika. Majeruhi ni wengi japo sijashuhudia maiti lakini uwezekano wa kuwapo watu waliopoteza maisha upo. Atakaekuwa na taarifa zaidi asisite kutupasha ila nawapa pole wote walipatwa na tatizo hili kwa namna moja au nyingine
 
Gosh kila siku nipitayo lazima tusikia ajali eeh mungu mwenye habari zaidi atupe update
 
kwanini mamlaka ya reli isiweke mageti pale reli inapopishana na barabara? Pia kwanini isiweke mlinzi hapo wa kuwa anawasiliana na matreni hayo wakati treni linakuja basi anafunga geti mpaka treni lipite? Pole kwa waliopatwa na ajali!
 
kwanini mamlaka ya reli isiweke mageti pale reli inapopishana na barabara? Pia kwanini isiweke mlinzi hapo wa kuwa anawasiliana na matreni hayo wakati treni linakuja basi anafunga geti mpaka treni lipite? Pole kwa waliopatwa na ajali!

Mwekezaji mhindi ametema walinzi wote wa magetini, tutegemee ajali nyingi zaidi ya hizo katika maeneo yote ambapo reli inapita.
 
Kuna ajali imetokea usiku karibu na mataa ya Chang'ombe ukitokea Karume ikihusisha Treni na Magari mawili ya abiria, moja ikiwa ni ya Mbagala na nyingine ya Tandika. Majeruhi ni wengi japo sijashuhudia maiti lakini uwezekano wa kuwapo watu waliopoteza maisha upo. Atakaekuwa na taarifa zaidi asisite kutupasha ila nawapa pole wote walipatwa na tatizo hili kwa namna moja au nyingine
Pole kwa yaliyotokea,
Pili Mkubya2 karibu jamvini. Pia naomba be a bit more specific, ukisema tuu ajali ya treni, ni too broad. Sema ni treni ya TRC au Tazara. Ukiachia kwenye treni tuu, watu watajua ni reli ya kati.

Pia unasema ni treni ya mizigo au abiria, ni treni kweli au kichwa cha treni, au kiberenge, ukiishia kwenye treni tuu, picha inajijenga ni treni ya abiria.

Pole tena kwa wahanga wa ajali hii.
 
Pole kwa yaliyotokea,
Pili Mkubya2 karibu jamvini. Pia naomba be a bit more specific, ukisema tuu ajali ya treni, ni too broad. Sema ni treni ya TRC au Tazara. Ukiachia kwenye treni tuu, watu watajua ni reli ya kati.

Pia unasema ni treni ya mizigo au abiria, ni treni kweli au kichwa cha treni, au kiberenge, ukiishia kwenye treni tuu, picha inajijenga ni treni ya abiria.

Pole tena kwa wahanga wa ajali hii.
..Pasco, unless wewe ni mgeni wa jiji la Dar, Mkubya amesema karibu ya mataa ya chang'ombe ni wazi ni treni ya TRL (si TRC kama uliweka wewe) au Tazara kwani Treni ya Tazara haipiti maeneo hayo.
Suala kuwa aseme ni treni ya mizigo, abiria, kichwa au kiberenge haina umuhimu, issue ni kuwa ajali imetokea, . Suppose kilikuwa ni kichwa au hiyo siyo treni?? au unadhani treni ni mabehewa??.
 
Back
Top Bottom