ajali ya ndege Moshi

Mtaalam

JF-Expert Member
Oct 1, 2007
1,370
234
nimeingia kwenye blog mojawapo nimesoma kuna habari kuwa kuna ajali ya ndege wajimini sijui pasua moshi uko tz...wadau mlioko huko hebu tumuvuzishieni habari zaidi
 
Ndege yaangukia barabarani Moshi yahofiwa kua abiria wanne
Na Daniel Mjema,Moshi

ABIRIA wanne wakiwamo watatu wa kigeni, wanahofiwa kufa baada ya ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria kuanguka katikati ya barabara mjini hapa.

Ajali hiyo, ilitokea jana majira ya mchana katika barabara ya Viwandani karibu na sehemu ya kuhifadhi mafuta ya Kampuni ya Mafuta ya British Petroleum (BP) na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Polisi na baadhi ya wananchi walijitokeza kusaidia kisaidia kuokoa maisha ya abiria hao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng�hoboko, alisema ndege hiyo iliruka katika uwanja mdogo wa ndege wa Moshi Mjini, majira ya saa 8:20 mchana na kuanguka dakika 10 baadaye kufuatia kupata hitilafu ikiwa angani.

� Ninachoweza kusema kwa sasa ni kuwa abiria wanne walichukuliwa eneo la tukio wakiwa mahututi sana suala la kama wamekufa la hilo atathibitisha daktari, � alisema Ng�hoboko.

Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Moshi, Macdonald Kulwa alisema kuwa, abiria wawili wa ndege hiyo wamethibitishwa kufa.

Abiria hao ni Rubani wa ndege hiyo, Baraka Gilbert (36) ambaye ni Mtanzania na Hyden Rowan (26), Raia wa Kigeni. Wengine Issack Johanes (28) na Sylan Borton, wako mahututi.

Mfanyabiashara mashuhuri wa mjini hapa na Rubani wa ndege, Babu Sambeke alisema katika eneo la ajali kuwa, ndege hiyo aina ya Cessna 172 ni mali ya Kampuni ya Serengeti Balloon Safari(SBL).

Kwa mujibu wa Sambeke ambaye ndiye aliyeiuza ndege hiyo kwa SBL na kwamba ilikuwa ikitumiwa na watu wanaoruka angani kisha kushuka kwa miavuli ilianguka baada ya kupata hitilafu.

�Lengo la rubani lilikuwa aende futi 12,500 kutoka usawa wa bahari halafu awarushe wale jamaa wa miavuli, lakini akiwa juu akagundua matatizo katika pangaboi, �alisema Sambeke.

Alifafanua kuwa, baada kugundua hililafu hiyo aliwasiliana na waongoza ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ili aweze kutua kwa dharura na kiwanja kilichokuwa karibu ni Moshi.

Rubani baada ya kuzidiwa alijaribu kila njia kutua katika barabara ya lami, lakini kasi ya kushuka kutoka angani ilikuwa kubwa akashindwa kutimiza azma yake.

Sambeke, alisema ndege hiyo ilianguka kwa kutanguliza kichwa kisha pangaboya kupasuka vipande.

Taarifa zaidi zilizopatikana kutoka katika eneo hilo la ajali zilieleza kuwa, mwendesha baiskeli mmoja alijeruhiwa wakati ndege hiyo, ikianguka.

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Alhaji Mussa Samizi, ambaye alikuwa kiongozi wa kwanza wa kiserikali kufika eneo la tukio, alisema hakuwa na taarifa kamili juu ya ajali hiyo zaidi ya kutoa pole.

SOURCE: MWANANCHI
 
Ndege yaangukia barabarani Moshi yahofiwa kua abiria wanne
Na Daniel Mjema,Moshi

ABIRIA wanne wakiwamo watatu wa kigeni, wanahofiwa kufa baada ya ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria kuanguka katikati ya barabara mjini hapa.

Ajali hiyo, ilitokea jana majira ya mchana katika barabara ya Viwandani karibu na sehemu ya kuhifadhi mafuta ya Kampuni ya Mafuta ya British Petroleum (BP) na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Polisi na baadhi ya wananchi walijitokeza kusaidia kisaidia kuokoa maisha ya abiria hao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng�hoboko, alisema ndege hiyo iliruka katika uwanja mdogo wa ndege wa Moshi Mjini, majira ya saa 8:20 mchana na kuanguka dakika 10 baadaye kufuatia kupata hitilafu ikiwa angani.

� Ninachoweza kusema kwa sasa ni kuwa abiria wanne walichukuliwa eneo la tukio wakiwa mahututi sana suala la kama wamekufa la hilo atathibitisha daktari, � alisema Ng�hoboko.

Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Moshi, Macdonald Kulwa alisema kuwa, abiria wawili wa ndege hiyo wamethibitishwa kufa.

Abiria hao ni Rubani wa ndege hiyo, Baraka Gilbert (36) ambaye ni Mtanzania na Hyden Rowan (26), Raia wa Kigeni. Wengine Issack Johanes (28) na Sylan Borton, wako mahututi.

Mfanyabiashara mashuhuri wa mjini hapa na Rubani wa ndege, Babu Sambeke alisema katika eneo la ajali kuwa, ndege hiyo aina ya Cessna 172 ni mali ya Kampuni ya Serengeti Balloon Safari(SBL).

Kwa mujibu wa Sambeke ambaye ndiye aliyeiuza ndege hiyo kwa SBL na kwamba ilikuwa ikitumiwa na watu wanaoruka angani kisha kushuka kwa miavuli ilianguka baada ya kupata hitilafu.

�Lengo la rubani lilikuwa aende futi 12,500 kutoka usawa wa bahari halafu awarushe wale jamaa wa miavuli, lakini akiwa juu akagundua matatizo katika pangaboi, �alisema Sambeke.

Alifafanua kuwa, baada kugundua hililafu hiyo aliwasiliana na waongoza ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ili aweze kutua kwa dharura na kiwanja kilichokuwa karibu ni Moshi.

Rubani baada ya kuzidiwa alijaribu kila njia kutua katika barabara ya lami, lakini kasi ya kushuka kutoka angani ilikuwa kubwa akashindwa kutimiza azma yake.

Sambeke, alisema ndege hiyo ilianguka kwa kutanguliza kichwa kisha pangaboya kupasuka vipande.

Taarifa zaidi zilizopatikana kutoka katika eneo hilo la ajali zilieleza kuwa, mwendesha baiskeli mmoja alijeruhiwa wakati ndege hiyo, ikianguka.

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Alhaji Mussa Samizi, ambaye alikuwa kiongozi wa kwanza wa kiserikali kufika eneo la tukio, alisema hakuwa na taarifa kamili juu ya ajali hiyo zaidi ya kutoa pole.

SOURCE: MWANANCHI

shukrani muzee kwa habari hizo...
 
Ndege yaangukia barabarani Moshi yahofiwa kua abiria wanne
Na Daniel Mjema,Moshi

ABIRIA wanne wakiwamo watatu wa kigeni, wanahofiwa kufa baada ya ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria kuanguka katikati ya barabara mjini hapa.

Ajali hiyo, ilitokea jana majira ya mchana katika barabara ya Viwandani karibu na sehemu ya kuhifadhi mafuta ya Kampuni ya Mafuta ya British Petroleum (BP) na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Polisi na baadhi ya wananchi walijitokeza kusaidia kisaidia kuokoa maisha ya abiria hao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng�hoboko, alisema ndege hiyo iliruka katika uwanja mdogo wa ndege wa Moshi Mjini, majira ya saa 8:20 mchana na kuanguka dakika 10 baadaye kufuatia kupata hitilafu ikiwa angani.

� Ninachoweza kusema kwa sasa ni kuwa abiria wanne walichukuliwa eneo la tukio wakiwa mahututi sana suala la kama wamekufa la hilo atathibitisha daktari, � alisema Ng�hoboko.

Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Moshi, Macdonald Kulwa alisema kuwa, abiria wawili wa ndege hiyo wamethibitishwa kufa.

Abiria hao ni Rubani wa ndege hiyo, Baraka Gilbert (36) ambaye ni Mtanzania na Hyden Rowan (26), Raia wa Kigeni. Wengine Issack Johanes (28) na Sylan Borton, wako mahututi.

Mfanyabiashara mashuhuri wa mjini hapa na Rubani wa ndege, Babu Sambeke alisema katika eneo la ajali kuwa, ndege hiyo aina ya Cessna 172 ni mali ya Kampuni ya Serengeti Balloon Safari(SBL).

Kwa mujibu wa Sambeke ambaye ndiye aliyeiuza ndege hiyo kwa SBL na kwamba ilikuwa ikitumiwa na watu wanaoruka angani kisha kushuka kwa miavuli ilianguka baada ya kupata hitilafu.

�Lengo la rubani lilikuwa aende futi 12,500 kutoka usawa wa bahari halafu awarushe wale jamaa wa miavuli, lakini akiwa juu akagundua matatizo katika pangaboi, �alisema Sambeke.

Alifafanua kuwa, baada kugundua hililafu hiyo aliwasiliana na waongoza ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ili aweze kutua kwa dharura na kiwanja kilichokuwa karibu ni Moshi.

Rubani baada ya kuzidiwa alijaribu kila njia kutua katika barabara ya lami, lakini kasi ya kushuka kutoka angani ilikuwa kubwa akashindwa kutimiza azma yake.

Sambeke, alisema ndege hiyo ilianguka kwa kutanguliza kichwa kisha pangaboya kupasuka vipande.

Taarifa zaidi zilizopatikana kutoka katika eneo hilo la ajali zilieleza kuwa, mwendesha baiskeli mmoja alijeruhiwa wakati ndege hiyo, ikianguka.

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Alhaji Mussa Samizi, ambaye alikuwa kiongozi wa kwanza wa kiserikali kufika eneo la tukio, alisema hakuwa na taarifa kamili juu ya ajali hiyo zaidi ya kutoa pole.

SOURCE: MWANANCHI

shukrani muzee kwa habari hizo...Mungu azilaze roho za marehemu pema peponi
 
Ajali hizi zitatumaliza. Mungu awarehemu!

Huyu Babu Sambeki, (au kuna mwingine?) huyu si alikuwa anajulikana kwa Ujambazi miaka ya tisini kule Moshi/Arusha, kumbe bado yuko hai?! Naona sasa anaitwa Mfanyabiashara.
 
Ajali hizi zitatumaliza. Mungu awarehemu!

Huyu Babu Sambeki, (au kuna mwingine?) huyu si alikuwa anajulikana kwa Ujambazi miaka ya tisini kule Moshi/Arusha, kumbe bado yuko hai?! Naona sasa anaitwa Mfanyabiashara.

Bob Sambeki wizi ameacha- amekuwa mtu mwema mwenye pesa nyingi sasa!
 
Bob Sambeki wizi ameacha- amekuwa mtu mwema mwenye pesa nyingi sasa!

It's no wonder nilijiuliza, kuna mwingine, maana one I remember aliitwa "Bob", sasa nimeona Babu nikadhani pacha lake eti.

No kidding, I guess the man has paid his dues!
 
It's no wonder nilijiuliza, kuna mwingine, maana one I remember aliitwa "Bob", sasa nimeona Babu nikadhani pacha lake eti.

No kidding, I guess the man has paid his dues!

..ndio hao hao tu! anyways,kama wameacha vizuri!
 
Babu Sambeke ni mwizi hatari wa magari, hajaacha hata sasa, tofauti ni kwamba tu yeye sasa anafanya coordination, hana tena kikosi anachomiliki kama zamani. Lakini bado anaheshimika miongoni mwa majambazi sugu. Pale Moshi ukiibiwa gari, kama unafahamiana na Babu Sambeke, wahi tu nyumbani kwake mlilie, atapiga simu gari yako unarudishiwa! Baada ya kutajirika sana ndipo alianza fantacy kama za michezo ya golf na mbio za magari (ana magari mengi ya mchezo huo). Kisha alinunua ndege na kujifunza urubani ambao alifaulu vizuri na amerusha ndege yake mara nyingi tu. Habari za yeye kuiuza hiyo ndege yake ndio nimeziona leo zikiambatana na hiyo ajali, lakini nadhani atakuwa amenunua nyingine. Yaani habari za huyu jamaa zinafanana na movie fulani, ukihadithiwa utadhani za kutunga, lakini ni za kweli!
 
Kwa sasa tushukuru kuwa ni ndogo ambazo zinaanguka TZ. Mungu ataunusuru siku ndege kubwa ikianguka!
 
Mfanyabiashara mashuhuri wa mjini hapa na Rubani wa ndege, Babu Sambeke alisema katika eneo la ajali kuwa, ndege hiyo aina ya Cessna 172 ni mali ya Kampuni ya Serengeti Balloon Safari(SBL).

Kwa mujibu wa Sambeke ambaye ndiye aliyeiuza ndege hiyo kwa SBL na kwamba ilikuwa ikitumiwa na watu wanaoruka angani kisha kushuka kwa miavuli ilianguka baada ya kupata hitilafu.
SOURCE: MWANANCHI

Kazi kwelikweli . . . . Huyu ndugu si ndo yule alyekamatwa Moshi wakati wa hekaheka za Majambazi ambazo na Alex Massawe alikamatwa?

Nasikia alikuwa na ndege na magari ya kifahari kibao pamoja na nyumba ya thamani sana. Account za Mabillion na anakopesha wadau pesa kwa kuwapa cash on spot na kisha anaandika jina kwenye note book. Unaacha shangingi lako uani kama dhamana.

Anyway Poleni sana wafiwa wote na Mungu awatie nguvu na kuwafariji

 
Kazi kwelikweli . . . . Huyu ndugu si ndo yule alyekamatwa Moshi wakati wa hekaheka za Majambazi ambazo na Alex Massawe alikamatwa?

Nasikia alikuwa na ndege na magari ya kifahari kibao pamoja na nyumba ya thamani sana. Account za Mabillion na anakopesha wadau pesa kwa kuwapa cash on spot na kisha anaandika jina kwenye note book. Unaacha shangingi lako uani kama dhamana.

Anyway Poleni sana wafiwa wote na Mungu awatie nguvu na kuwafariji

Ndiye huyo huyo mkuu...

May he Rest In Peace!
 
Ndiye huyo huyo mkuu...

May he Rest In Peace!

Huyu kaka inaonekana alijiweka above the law, rules, guidelines, etc kama rubani mwenye PPL, sababu alikuwa na strong personal influence na bureaucrats, na aliweza kwa kiasi fulani ku-get away na mambo yaliyo nje ya qualifications na experience zake kama rubani bila madhara makubwa kwa muda mrefu sababu mamlaka husika inayodhibiti Wana-anga na mambo ya anga Tanzania ni dhaifu, and he could break as many rules as he wished with little if any consequences.

Lakini, at end of the day, it all got back to bite him in the ass, and he had to lose his life like a bitch because he, of all the people, should have known what was in his store for him all this time as any serious aviator would.
 
Si yule anayeoa kwa muda maalum madem,akimaliza mkataba anamjengea demu nyumba na wala hazai nae!!
 
Ajali hizi zitatumaliza.
Mungu awarehemu!

Huyu Babu Sambeki, (au kuna mwingine?) huyu si alikuwa anajulikana kwa
Ujambazi miaka ya tisini kule Moshi/Arusha, kumbe bado yuko hai?! Naona
sasa anaitwa Mfanyabiashara.

Wapumzike kwa amani marehemu wote. Msije mkasema chanzo ni magaidi. Najaribu kuwaza tu kwa sauti ila msije kuning'oa kucha na meno
 
Back
Top Bottom