ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kwa mambo yanavyoenda hovyo ni haki kulalamika....Hii kasumba ya kulalamika inatutesa sana wabongo
Kwa mambo yanavyoenda hovyo ni haki kulalamika....Hii kasumba ya kulalamika inatutesa sana wabongo
Bila ya hilo gema mabasi yangekuwa yanagongana uso kwa uso mara kwa mara, usalama umezingatiwa sana.Kuna ajari mbaya Gari la mwendokasi limepanda gema na kuharibika vibaya sana; hakuna abiria aliyekufa,
Hapo inathibitisha wazi kwamba uwekaji Wa lile tuta au gema la katikati kwenye barabara ya mwendokasi haukuzingatia usalama, pia ni mwanzo Wa foleni endapo ajali inapotokea!
waweza pitia ushauri Wangu hapa chini niliowahi kuuotoa mwezi mmoja uliopita
View attachment 1209558Tuta la katikati kwenye barabara ya mwendokasi liliwekwa kipigaji; nashauri liondolewe ili kuepuka yafuatayo
Katika designing! Jambo mhimu na kubwa huwa ni safety! Asilimia 40% ya foleni na ajari nyingi bongo zinasababishwa na kosa la kiufundi- MIUNDO MBINU (Technical problem), asilimia 40% zingine ni uchakavu wa vyombo vya moto, asilimia 10% alama za barabarani asilimia 5% ubovu wa sheria za...www.jamiiforums.com