Bw. Ufahamu
Member
- Apr 23, 2010
- 15
- 1
Rip
Hakijarekebishwa chochote.
Mambo yanapo haribika ni ulaji kwa wajanja.
Wanatamani hata MV Victoria nayo izame ili wafaidike.
siku kama ya leo mwaka 1996, watanzania takribani 1000 walizama maji na kufa kutokana na ajari ya mv bukoba,
ilikuwa ni siku ya majonzi, mimi nakumbuka familia ya rafiki yangu kuzama majini karibu yote walipokuwa wakitoka msibani huko kagera, lilikuwa simanzi kubwa sana na bado litabaki kuwa simanzi kwa watanzania
toka kutokea ajari ya mv bukoba meli zetu na vyombo vingi vya usafiri bado vinakiuka sheria za usafirishaji (majini na barabarani) na watendaji wa serikali wenye dhamana na mambo ya usafiri ni wanufaika wakubwa wa rushwa zinazotoka na kuvunjwa sheria za usafiri
jiulize swali ni mara ngapi umeshuhudia dereva hakitoa rushwa kwa trafic kwa kuhatarisha maisha yako na wewe ukiwaangalia bila kusema neno?
Je ni serikali tu ya kulaumiwa au na wananchi pia?
Ni wangapi waliwahi kupanda basi na linapofika kwenye mizani wanaambia wasogee nyuma au mbele ya basi ili kupotosha mzani?
Kwa hali iliyopo sasa sababu za kuzama mv bukoba zimepatiwa dawa?
Kwa wasiojua ni kwamba mv bukoba ilizama kwa kuzidisha mzigo kuliko uwezo wa meli na mpaka sasa sina hakika kama kuna mtu aliyechukuliwa hatua, yawezekana meli ilikuwa na matatizo mengine lakini la kuzidisha mzigo ilikuwa ni kichocheo kikubwa cha hii ajari
je kuna umuhimu hii siku kukumbukwa kwa matamasha na elimu kwa umma kuhusu sheria za usafirishaji na haki za msafiri?
Wakuu naomba kuwakilisha
Tatizo la Tanzania Human is not a Resource. Human is just the way to justify their filthy, gready deals including aids from IDA. By saying we are more than 40 million of whom more than 50% are in poor state, they justify the way to get money from donors... Such a mess like power supply/generation can just be an history if we are serious and spend the dividend we get just from one gold mine. Our leaders/politicians they are not considering the wellness of their people they there just to suck their veins.
In just one tragedy like this we commemorate this day, was a lesson to what should be done to avoid such a loss of natinal power. But no one is ready to take any action as long as there is food on his/her table. There are so many things to relate... Tanzania is poor because it lacks leaders who are patriotic.
I wish one day we make them suffer.
It's now 17 years ago since the tragedy."MV Bukoba was a passenger steamer that sank in Lake Victoria, 30 kilometers from Mwanza, Tanzania on May 21, 1996, killing nearly 1000 people. The boat transported passengers and cargo between Bukoba and Mwanza ports. The steamer's capacity was 430, but around 800 people drowned as the boat sank to the bottom of Lake Victoria. The manifest showed 443 passengers in the first and second class cabins, but the cheaper third class compartment had no manifest. Abu Ubaidah al-Banshiri, who was at the time second in command of the Al Qaeda organization, died in the accident. The lack of equipment and divers were partially to blame for the death toll. Rescue teams from South Africa were flown in to salvage the ship and retrieve bodies that sank 25 meters under water. President Benjamin Mkapa of Tanzania declared three days of national mourning after the tragedy.
MV Bukoba was a passenger steamer that sank in Lake Victoria, 30 kilometers from Mwanza, Tanzania on May 21, 1996, killing nearly 1000 people. The boat transported passengers and cargo between Bukoba and Mwanza ports. The steamer's capacity was 430"
Tuikumbuke siku hii jamani,naona magazeti yote ya leo hakuna linaloikumbuka.rest in peace all those who are in the coffin called MV.BK wreakage
Tunapotimiza miaka 14 ya kuzama kwa meli ya MV Bukoba hapo 21/5/2010, Hivi kuna umuhimu wowote wa kuadhimisha kwa namna yoyote na kuikumbuka siku hiyo? Au ni kutiana machungu ya ndugu zetu waliofariki kifo kibaya katika meli hiyo ndani ya ziwa victoria.
Ebu tujiulize, maadhimisho haya yana maana yoyote?