Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #41
Hatari imetokea huko Kilimanjaro. Mungu awe nasi katika kupambana na moto ule mbaya.
Hatari imetokea huko Kilimanjaro. Mungu awe nasi katika kupambana na moto ule mbaya.
Daaah hakika inasikitisha sana mkuuAngalikuwa mwalimu angaliwatuma hata JW ndio fursa za kuimarisha urafiki infact tutatuma salamu za pole msitu wote ukiangamia
Ndio mkuu walifanikiwa kuuzimaMoto wa Amazon ulizima?
Hakika...20% ya uhai duniani unapata support kutoka huo msitu wa Amazon
KilimanjaroooooooooShikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Baada ya shambulizi ya kigaidi katika chuo kikuu cha Garisa nchini Kenya, mkuu wa jeshi la Polisi kamanda Simon Sirro alijitokeza mbele ya umma na kusema ya kuwa wanasikitishwa sana na shambulio lile na kutoa salama za pole kwa ndugu zetu wa Kenya kisha akatoa assurance kwa wanavyuo ya kuwa usalama umeimarishwa meneo yote ya vyuo hapa nchini katika kuhakikisha ya kuwa hakutakuwa na tukio la namna ile hapa nchini.
Baada ya ajali ya gari la wanafunzi wa shule ya msingi ya Lucky Vincent iliyopo jijini Arusha, mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoani hapo aliamuru kuwe na ukaguzi yakinifu kwa gari zote za wanafunzi ili kutathmini roadworthiness ya kila school bus.
Kuna habari zina trend sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa juu ya kuungua moto msitu wa Amazon uliopo nchini Brazil ambapo mpaka ninavyoandika, thousands of hectors have been consumed by that deadly blaze.
Kwanini sijaona Waziri wa Maliasili wala Commissioner mkuu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji hapa Tanzania akitoa assurance kwa watanzania hususan wanaokaa maeneo jirani na misitu yetu pamoja na mbuga za wanyama na kueleza wamejipanga vp katika kukabiliana na suala hili endapo litajitokeza????
Mimi ninafikiri labda kungeundwa jopo la Wataalam wa Wizara ya maliasili pamoja na wale wa kutoka jeshi la zimamoto ili kuweza kutathmini loopholes zilizopo zinazoweza kusababisha mlipuko wa moto pamoja na kutoa assurance ya usalama kwa watanzania waishio karibu na hifadhi na misitu mikubwa
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Yes mkuuMsitu huu ni tunu ya dunia hivyo kulindwa ni wajibu wa kila mmoja..
Ulikuwa mwaka gani huu mkuu?...nakumbuka warina asali walipoteketeza maelfu ya heka pale mlima kilimanjaro
Mhhhyale majoka makubwa yalipata tabu sana.
Nakupongeza sana Poti, uliona mbali. Sasa hivi ndio wanajadili ununuzi wa ndege za kupambana na moto katika hifadhi za Taifa wakati moto umepamba moto pale Mlimani. Kawaida yetu tunafanya maaamuzi kwa matukio. Kama hakuna moto, tupo kimya. Ukiwaka tu ndo utasikia njia ambazo zitatumika kuuzima moto huo jambo ambalo lilipaswa kufanyika kabla ya hapo. Wakati wa kiangazi tupo kimya. Mvua ikinyesha na mafuriko yakitokea ndio tunafikiria kujenga barabara imara pale Msimbazi na pia kutoa mabilioni ya fedha kwa ujenzi wa madaraja. Kwa mwendo huu tunajidanganya miaka nenda miaka rudi na hatufiki popote.Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Baada ya shambulizi ya kigaidi katika chuo kikuu cha Garisa nchini Kenya, mkuu wa jeshi la Polisi kamanda Simon Sirro alijitokeza mbele ya umma na kusema ya kuwa wanasikitishwa sana na shambulio lile na kutoa salama za pole kwa ndugu zetu wa Kenya kisha akatoa assurance kwa wanavyuo ya kuwa usalama umeimarishwa meneo yote ya vyuo hapa nchini katika kuhakikisha ya kuwa hakutakuwa na tukio la namna ile hapa nchini.
Baada ya ajali ya gari la wanafunzi wa shule ya msingi ya Lucky Vincent iliyopo jijini Arusha, mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoani hapo aliamuru kuwe na ukaguzi yakinifu kwa gari zote za wanafunzi ili kutathmini roadworthiness ya kila school bus.
Kuna habari zina trend sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa juu ya kuungua moto msitu wa Amazon uliopo nchini Brazil ambapo mpaka ninavyoandika, thousands of hectors have been consumed by that deadly blaze.
Kwanini sijaona Waziri wa Maliasili wala Commissioner mkuu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji hapa Tanzania akitoa assurance kwa watanzania hususan wanaokaa maeneo jirani na misitu yetu pamoja na mbuga za wanyama na kueleza wamejipanga vp katika kukabiliana na suala hili endapo litajitokeza????
Mimi ninafikiri labda kungeundwa jopo la Wataalam wa Wizara ya maliasili pamoja na wale wa kutoka jeshi la zimamoto ili kuweza kutathmini loopholes zilizopo zinazoweza kusababisha mlipuko wa moto pamoja na kutoa assurance ya usalama kwa watanzania waishio karibu na hifadhi na misitu mikubwa
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Asante Poti.Nakupongeza sana Poti, uliona mbali.
Hakika Mungu atusaidie katika hili...Sasa hivi ndio wanajadili ununuzi wa ndege za kupambana na moto katika hifadhi za Taifa wakati moto umepamba moto pale Mlimani.
Upo sahihi sana mkuu...Kawaida yetu tunafanya maaamuzi kwa matukio. Kama hakuna moto, tupo kimya. Ukiwaka tu ndo utasikia njia ambazo zitatumika kuuzima moto huo jambo ambalo lilipaswa kufanyika kabla ya hapo.
Inasikitisha sana mkuu. Ila ninahisi ni kwa sababu ya uhaba wa pesa kwa hizi nchi zetu za uchumi mdogo huku Afrika...Wakati wa kiangazi tupo kimya. Mvua ikinyesha na mafuriko yakitokea ndio tunafikiria kujenga barabara imara pale Msimbazi na pia kutoa mabilioni ya fedha kwa ujenzi wa madaraja.
Soma tena mkuuUmesemaje?
Huu moto wa Amazon ulikwishazimika zamani sana. Mungu tunaomba saidia na huu wetu.G.7 WAMEWAPA MSAADA WA KIFEDHA ILI WAPAMBANE NA MOTO ,BRAZILI WAMEKATAA MSAADA HUO
Hahahahaaaa sawa mkuuMarahaba mdogo wangu Infantry Soldier
Mkuu usisahau kupanga ni kuchagua. Tunachagua kufanya mambo makubwa sana na kuyasahau yake madogo ambayo pengine ni ya muhimu zaidi. Barabara ya Msimbazi ni ya siku nyingi na tatizo la mafuriko hapo linafahamika miaka nenda miaka rudi. Hatuoni nia ya dhati ikifanyika kuwaondolea wakazi wa Jiji adha hii. Fedha ya kufanya haya ipo, lakini hili si kipaumbele chetu.Inasikitisha sana mkuu. Ila ninahisi ni kwa sababu ya uhaba wa pesa kwa hizi nchi zetu za uchumi mdogo huku Afrika...
Mkuu vp, kichwa bado kinauma mpaka sasa?Samahani mkuu! Kichwa kinauma! Naomba panado.
Doooh, masharti magumu sana haya sheikhRais wa Brazil amekata akidai kikao wameka bila kuwashilikisha. Na terms za msaada wanataka 35% ya Amazon wapewe wakitoa msaada