Ajali ya moto MSAMVU: Wakati tunawaangushia Polisi Jumba Bovu, Je tutaendelea hivi Mpaka lini?

Mau Mau

JF-Expert Member
Dec 30, 2012
673
478
Wasalaam,
Kwanza nitoe pole nyingi kwa wote walioguswa na Janga hili kwa namna moja ama nyingine, Kisha Naomba kuwashirikisha ujumbe huu nilioukuta mahali:

Tangu Ajali hii imetokea nimefuatilia kwa kina maoni ya wadau wengi na kugundua bado hatuzishughulishi akili zetu vizuri kwasababu ya Bifu zetu binafsi dhidi ya Polisi kwa kila jambo.

WANA JF KABLA HATUJAWASHUSHIA LAWAMA POLISI HEBU TUPATE TAFAKURI KWA MASWALI HAYA!!???

1. Jeshi letu la Polisi lina VIFAA vya kuweza kuondoa Gari lililoanguka barabarani kwa ajali ?

2. Je tunafahamu undani wa muda Yaani Time interval katika tukio tangu TAARIFA kutolewa kituoni na Polisi ku respond kwenye eneo la Ajali kabla ya moto kutokea????

3. Ni Chanzo kipi cha Habari kinachoeleza Chanzo cha Moto ule ni teja??? Zipo tetesi kuwa Moto ule ulianzia kwa Mama ntilie umbali zaidi ya mita 100 toka eneo la tukio, je huko pia waliopaswa kusimamia Ni Polisi hao hao???

4. Je, tunakumbuka April 12, 2011 huko Manyoni Watu zaidi ya 20 walifariki wakiwemo Polisi waliokuwa wakiwazuia watu wasichote mafuta kwenye lori la mafuta lililoanguka ?

4. Ikiwa mafuta Yalikuwa yakichuruzika kama mfereji wa maji hizo Kamba sijui tape zingetosha kuyazuia mafuta kutembea? . JE, kosa la Polisi ni lipi hapo???


Tumepoteza ndugu zetu kwa Ajali ya Moto. Hatujapoteza ndugu zetu kwasababu ya Polisi, Fire au Ofisi ya kuzuia majanga .
TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUNAPOENDELEA KUOMBOLEZA
 
Kwa hili Police nitawatetea sana,kwa yale mafuta kama wangekuwepo pale yangetokea kama ya Singida tena maake najua wananchi ni wabishi mabomu ndo yangewakimbiza,sasa sidhani kama Polisi wa mwanzo kufika wangekuwa na hayo mabomu
 
Wasalaam,
Kwanza nitoe pole nyingi kwa wote walioguswa na Janga hili kwa namna moja ama nyingine, Kisha Naomba kuwashirikisha ujumbe huu nilioukuta mahali:
Tangu Ajali hii imetokea nimefuatilia kwa kina maoni ya wadau wengi na kugundua bado hatuzishughulishi akili zetu vizuri kwasababu ya Bifu zetu binafsi dhidi ya Polisi kwa kila jambo.
WANA JF KABLA HATUJAWASHUSHIA LAWAMA POLISI HEBU TUPATE TAFAKURI KWA MASWALI HAYA!!???
1. Jeshi letu la Polisi lina VIFAA vya kuweza kuondoa Gari lililoanguka barabarani kwa ajali ?
2. Je tunafahamu undani wa muda Yaani Time interval katika tukio tangu TAARIFA kutolewa kituoni na Polisi ku respond kwenye eneo la Ajali kabla ya moto kutokea????
3. Ni Chanzo kipi cha Habari kinachoeleza Chanzo cha Moto ule ni teja??? Zipo tetesi kuwa Moto ule ulianzia kwa Mama ntilie umbali zaidi ya mita 100 toka eneo la tukio, je huko pia waliopaswa kusimamia Ni Polisi hao hao???
4. Je, tunakumbuka April 12, 2011 huko Manyoni Watu zaidi ya 20 walifariki wakiwemo Polisi waliokuwa wakiwazuia watu wasichote mafuta kwenye lori la mafuta lililoanguka ?
4. Ikiwa mafuta Yalikuwa yakichuruzika kama mfereji wa maji hizo Kamba sijui tape zingetosha kuyazuia mafuta kutembea? . JE, kosa la Polisi ni lipi hapo???
Tumepoteza ndugu zetu kwa Ajali ya Moto. Hatujapoteza ndugu zetu kwasababu ya Polisi, Fire au Ofisi ya kuzuia majanga .
TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUNAPOENDELEA KUOMBOLEZA
Ili kudhihirisha kuwa maiti haina makosa ndo maana jumba limewaangukia polisi, mfano wakasema walikuwa hawana vitendea kazi ndo maana walichelewa eneo la tukio serikali itajiundia tume kujichunguza nani anakwamisha upatikanaji wa vifaa au kwanini vifaa vya muhimu ili kuokoa maisha ya watu vinakosekana??
 
Japokuwa siwapendi POLISI,lakini katika hili tukio lazima niwatetee.. vijana tushtuke,tuweze kunusa hatari,tuwe wajanja,hili kwetu ni somo..kuna watu wanajaribu kufika mbali wanasema eti huu ndo uanaume,kwamba marehemu wamekufa kishujaa wakitafuta ridhiki,SI KWELI, jamani tuelezane tu ukweli kwamba jamaa walizingua na watu wengine pia tujifunze kupitia janga hili..

Mimi binafsi nilishuhudia ajali hii NTOKELA,MBEYA kijijini kwetu miaka kadhaa ya nyuma,ni hatari!
 
Wasalaam,
Kwanza nitoe pole nyingi kwa wote walioguswa na Janga hili kwa namna moja ama nyingine, Kisha Naomba kuwashirikisha ujumbe huu nilioukuta mahali:

Tangu Ajali hii imetokea nimefuatilia kwa kina maoni ya wadau wengi na kugundua bado hatuzishughulishi akili zetu vizuri kwasababu ya Bifu zetu binafsi dhidi ya Polisi kwa kila jambo.

WANA JF KABLA HATUJAWASHUSHIA LAWAMA POLISI HEBU TUPATE TAFAKURI KWA MASWALI HAYA!!???

1. Jeshi letu la Polisi lina VIFAA vya kuweza kuondoa Gari lililoanguka barabarani kwa ajali ?

2. Je tunafahamu undani wa muda Yaani Time interval katika tukio tangu TAARIFA kutolewa kituoni na Polisi ku respond kwenye eneo la Ajali kabla ya moto kutokea????

3. Ni Chanzo kipi cha Habari kinachoeleza Chanzo cha Moto ule ni teja??? Zipo tetesi kuwa Moto ule ulianzia kwa Mama ntilie umbali zaidi ya mita 100 toka eneo la tukio, je huko pia waliopaswa kusimamia Ni Polisi hao hao???

4. Je, tunakumbuka April 12, 2011 huko Manyoni Watu zaidi ya 20 walifariki wakiwemo Polisi waliokuwa wakiwazuia watu wasichote mafuta kwenye lori la mafuta lililoanguka ?

4. Ikiwa mafuta Yalikuwa yakichuruzika kama mfereji wa maji hizo Kamba sijui tape zingetosha kuyazuia mafuta kutembea? . JE, kosa la Polisi ni lipi hapo???


Tumepoteza ndugu zetu kwa Ajali ya Moto. Hatujapoteza ndugu zetu kwasababu ya Polisi, Fire au Ofisi ya kuzuia majanga .
TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUNAPOENDELEA KUOMBOLEZA
Pale ajali ilipotokea ni mjini na nyeti sana, yaani stendi kuu ya mkoa. Ni sehemu ambayo haikosi walinzi ambao wangefahamu kutokea Kwa tukio lile pale hata bila kuambiwa na mtu. Kile kishindo Tu cha kuanguka gari kama lile kingetosha kuwajulisha walinzi wa msamvu kuwa kuna kitu kibaya kimetokea.

Haiwezekani wananchi wengi kiasi kile wakusanyike katika eneo la tukio bila kuonwa na polisi au mtu yeyote wa serikali. Ina morogoro haina ulinzi madhubuti kama msamvu haina ulinzi.

Askari angejitokeza kazi yako ingelikuwa kuratibu shughuli za uokozi na kuwatawanya wananchi eneo la tukio.
 
Pale ajali ilipotokea ni mjini na nyeti sana, yaani stendi kuu ya mkoa. Ni sehemu ambayo haikosi walinzi ambao wangefahamu kutokea Kwa tukio lile pale hata bila kuambiwa na mtu. Kile kishindo Tu cha kuanguka gari kama lile kingetosha kuwajulisha walinzi wa msamvu kuwa kuna kitu kibaya kimetokea.

Haiwezekani wananchi wengi kiasi kile wakusanyike katika eneo la tukio bila kuonwa na polisi au mtu yeyote wa serikali. Ina morogoro haina ulinzi madhubuti kama msamvu haina ulinzi.

Askari angejitokeza kazi yako ingelikuwa kuratibu shughuli za uokozi na kuwatawanya wananchi eneo la tukio.
Sasa nyinyi endeleeni kufanya ujinga mkitegemea kuokolewa,
Yaan jitu na Akili zako unaona hatari unaifuata ukitegemea watu wakurudishe hizi Akili za kifala sana
 
Pale ajali ilipotokea ni mjini na nyeti sana, yaani stendi kuu ya mkoa. Ni sehemu ambayo haikosi walinzi ambao wangefahamu kutokea Kwa tukio lile pale hata bila kuambiwa na mtu. Kile kishindo Tu cha kuanguka gari kama lile kingetosha kuwajulisha walinzi wa msamvu kuwa kuna kitu kibaya kimetokea.

Haiwezekani wananchi wengi kiasi kile wakusanyike katika eneo la tukio bila kuonwa na polisi au mtu yeyote wa serikali. Ina morogoro haina ulinzi madhubuti kama msamvu haina ulinzi.

Askari angejitokeza kazi yako ingelikuwa kuratibu shughuli za uokozi na kuwatawanya wananchi eneo la tukio.
Unatawanyaje wananchi na mafuta yanamwagika chini kama mfereji..wangewatawanya kwa kutumia nini kwa umati ule
 
Wasalaam,
Kwanza nitoe pole nyingi kwa wote walioguswa na Janga hili kwa namna moja ama nyingine, Kisha Naomba kuwashirikisha ujumbe huu nilioukuta mahali:

Tangu Ajali hii imetokea nimefuatilia kwa kina maoni ya wadau wengi na kugundua bado hatuzishughulishi akili zetu vizuri kwasababu ya Bifu zetu binafsi dhidi ya Polisi kwa kila jambo.

WANA JF KABLA HATUJAWASHUSHIA LAWAMA POLISI HEBU TUPATE TAFAKURI KWA MASWALI HAYA!!???

1. Jeshi letu la Polisi lina VIFAA vya kuweza kuondoa Gari lililoanguka barabarani kwa ajali ?

2. Je tunafahamu undani wa muda Yaani Time interval katika tukio tangu TAARIFA kutolewa kituoni na Polisi ku respond kwenye eneo la Ajali kabla ya moto kutokea????

3. Ni Chanzo kipi cha Habari kinachoeleza Chanzo cha Moto ule ni teja??? Zipo tetesi kuwa Moto ule ulianzia kwa Mama ntilie umbali zaidi ya mita 100 toka eneo la tukio, je huko pia waliopaswa kusimamia Ni Polisi hao hao???

4. Je, tunakumbuka April 12, 2011 huko Manyoni Watu zaidi ya 20 walifariki wakiwemo Polisi waliokuwa wakiwazuia watu wasichote mafuta kwenye lori la mafuta lililoanguka ?

4. Ikiwa mafuta Yalikuwa yakichuruzika kama mfereji wa maji hizo Kamba sijui tape zingetosha kuyazuia mafuta kutembea? . JE, kosa la Polisi ni lipi hapo???


Tumepoteza ndugu zetu kwa Ajali ya Moto. Hatujapoteza ndugu zetu kwasababu ya Polisi, Fire au Ofisi ya kuzuia majanga .
TUTAFAKARI KWA PAMOJA TUNAPOENDELEA KUOMBOLEZA
Hili la manyoni likisababisha vifo vya watu 20 miongoni mwao askari 5 ambao walifika pale kuzuia raia wasichote mafuta. Mm ikiwa ni polisi na nimefika kwenye tukio km hilo najihakikishia usalama wangu kwanza hususani pale unapokuta tayari waraia wameshaanza kuiba na kuna vurugu.
 
Back
Top Bottom