Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,055
- 10,723
Namba za mabaharia wawili wa muda mrefu wa hii meli hizi hapa.
+255773467746 na +255777899987.
Huyu wa pili ni shujaa kati ya mabaharia kwani ndiye aliyepiga simu akiwa juu ya mlingoti wa meli muda mrefu kuwajulisha ndugu na polisi.
Mara ya mwisho kulingana na mmoja ya waliopigiwa alisema...."Leo ndio tunakufa,tupo juu ya mlingoti hatuzidi watu 30 na simu yangu muda wowote itazima.
Tangu muda huo nami nimejaribu kuwapigia sijawapata.Huenda line yangu ina matatizo nawaombeni nisaidieni kuwatafuta.
+255773467746 na +255777899987.
Huyu wa pili ni shujaa kati ya mabaharia kwani ndiye aliyepiga simu akiwa juu ya mlingoti wa meli muda mrefu kuwajulisha ndugu na polisi.
Mara ya mwisho kulingana na mmoja ya waliopigiwa alisema...."Leo ndio tunakufa,tupo juu ya mlingoti hatuzidi watu 30 na simu yangu muda wowote itazima.
Tangu muda huo nami nimejaribu kuwapigia sijawapata.Huenda line yangu ina matatizo nawaombeni nisaidieni kuwatafuta.