Ami mbona hili rahisi tu, na naamini Wapemba kwa umoja wao wanaliweza. Ni kama daftari la ukazi vile...
Wa bara na visiwani waorodheshe ndugu zao waliopanda na hawajulikani walipo....basi tayari idadi inapatikana.
Simanzi haijapungua, nawapa pole tena na tena wafiwa na majeruhi. Mama zetu, baba zetu, watoto wetu. Watoto na kinamama na wasivyojua kukimbia sipati picha tafrani iliyokuwepo huko!
Its very sad.
Wa bara na visiwani waorodheshe ndugu zao waliopanda na hawajulikani walipo....basi tayari idadi inapatikana.
Simanzi haijapungua, nawapa pole tena na tena wafiwa na majeruhi. Mama zetu, baba zetu, watoto wetu. Watoto na kinamama na wasivyojua kukimbia sipati picha tafrani iliyokuwepo huko!
Its very sad.
Awali habari zilipoanza kutoka kuhusu kuzama kwa meli ya mv Spice ilielezwa kuwa zaidi ya watu 2000 wanahofiwa kufa.
Habari zimebadilika mpaka vyombo vya habari vinatangaza watu 163 kufa na zaidi ya 500 kuokolewa.
Kwa wajuzi wa safari za meli na hali ilivyokuwa siku meli ilipoanza safari na kwamba meli yenyewe imezama tena katikati ya bahari zipo kila sababu kuamini kwamba maisha ya watu yamepuuzwa kwa faida za kisiasa.
Ukweli utabaki ni ule wa mwanzo kwamba watu 2000 wanahofiwa kufa. Binafsi nina sababu za kuamini kuwa zaidi ya 1000 watakuwa wamekufa iwapo watakaookolewa watajumlisha idadi ya 2000.