KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Ivi assume marehemu walikua wanakiasi kikubwa cha pesa kwenye simu zao, zitapatikanaje ili wafiwa wapewe.
NB: Jina langu haliusiani na maswala ya pesa tafadhali.
NB: Jina langu haliusiani na maswala ya pesa tafadhali.