Ajali ya Meli ya Spice - MPESA? TigoPesa?ZPESA??

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,713
12,063
Ivi assume marehemu walikua wanakiasi kikubwa cha pesa kwenye simu zao, zitapatikanaje ili wafiwa wapewe.

NB: Jina langu haliusiani na maswala ya pesa tafadhali.
 
Ivi assume marehemu walikua wanakiasi kikubwa cha pesa kwenye simu zao, zitapatikanaje ili wafiwa wapewe.

NB: Jina langu haliusiani na maswala ya pesa tafadhali.
Tatizo ni ugumu wa wafiwa kuweza kujua kama marehemu alikuwa na pesa ama la....na zaidi wengine huwa na line maalumu kwa ajili ya tigo pesa/mpesa ambazo ndugu pengine sio rahis kuzijua. Lakini kwa vyovyote vile kama ilivyo kwa ma benki, nadhani lazima kuna utaratibu wa kuzipata (kwa kuzingatia sheria za mirathi nk).

Lakini najiuliza pia zile walizokuwa nazo mifukoni (ambazo kwa wafanyabiashara aghalabu huwa nyingi pia) wafiwa watazipataje?
 
Tatizo ni ugumu wa wafiwa kuweza kujua kama marehemu alikuwa na pesa ama la....na zaidi wengine huwa na line maalumu kwa ajili ya tigo pesa/mpesa ambazo ndugu pengine sio rahis kuzijua. Lakini kwa vyovyote vile kama ilivyo kwa ma benki, nadhani lazima kuna utaratibu wa kuzipata (kwa kuzingatia sheria za mirathi nk).

Lakini najiuliza pia zile walizokuwa nazo mifukoni (ambazo kwa wafanyabiashara aghalabu huwa nyingi pia) wafiwa watazipataje?


Mkuu kwa wale ambao hawajapatikana na meli haiwezi tolewa, inakuaje apo?
 
Mkuu kwa wale ambao hawajapatikana na meli haiwezi tolewa, inakuaje apo?
Itakuwa imekula kwao! Wanawezaje kuthibithisha kuwa muhusika amekufa? Maana so far the official death toll ni 203! Hao wa chini ya maji (bila ya shaka wapo), tumeambiwa ndio imetoka...'wazamiaji kutoka afrika kusini' hawawezi kuwafikia! What an excuse!
 
Ivi assume marehemu walikua wanakiasi kikubwa cha pesa kwenye simu zao, zitapatikanaje ili wafiwa wapewe.

NB: Jina langu haliusiani na maswala ya pesa tafadhali.
Pia waokoaji na jeshi la polisi halijasema lolote kuhusu xcash na vitu vya thamani vilivyookolewa.Huenda ndio nitolee.
 
Ivi assume marehemu walikua wanakiasi kikubwa cha pesa kwenye simu zao, zitapatikanaje ili wafiwa wapewe.<br />
<br />
NB: Jina langu haliusiani na maswala ya pesa tafadhali.
<br />
<br />

Umewaza mbali mkuu. Haikuwa kichwani mwangu kabisa. Post ya aliyesema walioko chini ya maji ktk meli itathibitishwa vipi kama hao wamekufa nadhani ametoa hoja kubwa. Na wa vigezo na masharti kuzingatiwa ndio kabisa kamaliza. Kufa kufaana
 
Hapo hakuna lawama kwa M-pesa, tipo pesa wala Zpesa, ni vigumu kusolve ila ndg wa marehemu wakifatilia zitapatikana kama zipo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom