Kalikawe aliimbia MV Bukoba na kuonya.
Alisema "usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa yako utasababisha ajali kama ya MV Bukoba"
Yametimia zanzibar kwa MV spice islanders. Tatizo la overloading tz ni kubwa na serikali eti wametuma uchunguzi kwanini meli imepinduka na kuzama, kweli hawajui chanzo cha meli kupinduka ni nini!
Ni aibu kuona meli mbili sasa zimepinduka kwa kosa moja ambalo ni uzembe.
Alisema "usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa yako utasababisha ajali kama ya MV Bukoba"
Yametimia zanzibar kwa MV spice islanders. Tatizo la overloading tz ni kubwa na serikali eti wametuma uchunguzi kwanini meli imepinduka na kuzama, kweli hawajui chanzo cha meli kupinduka ni nini!
Ni aibu kuona meli mbili sasa zimepinduka kwa kosa moja ambalo ni uzembe.