Ajali ya Meli: Serikali yetu na utata wa idadi ya abiria walioangamia

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,904
6,904
Wewe ni mpuuzi, huenda umeshindwa kuelewa kiingereza, ujinga wako usituambukize na sisi. sasa nimekopi na kupesti hii habari ya BBC iliyoandikwa kwea kiswahili ili ujue kuwa wewe sikuonei kukutukana.Feri yazama Zanzibar, 'mamia' wafariki


Mamia ya watu wanahofiwa kufariki dunia baada ya feri kuzama katika pwani ya kisiwa cha Zanzibar nchini Tanzania ikiwa imewabeba zaidi ya watu mia tano.
110910085503_ferry_sink_zanzibar_304x171_1_nocredit.jpg


Zaidi ya watu arobaini na tatu wameaga dunia katika mkasa huo , mmoja wa mawaziri katika kisiwa hicho kinachojitawala amesema.
Takriban watu 260 wameripotiwa kuokolewa
Feri hiyo MV Spice Islander ilikuwa ikisafiri kati ya kisiwa kikubwa zaidi cha Unguja ikielekea Pemba ambacho pia ni kisiwa cha Zanzibar.
Hadi kufikia sasa tumeopoa miili 43, lakini tumewaokoa manusura 259
Mohammed Aboud, waziri anayehusika na maswala ya dharura Zanzibar.


"Hadi kufikia sasa tumeopoa miili 43, lakini tumewaokoa manusura 259," amesema Mohammed Aboud, waziri wa Zanzibar anayehusika na mikasa. Ameongeza kuwa 40 kati ya wale waliookolewa walikuwa na mejeraha mabaya.

kuadi mkubwa wa serikali ya umoja wa CUF na CCM. umepikwa unataka kuwapika na wengine? mpaka jana saa mbili usiku, miili 102 iliokolewa na watu wapatao 550s wameokolewa. achilia mbali waliokufa. kwa taarifa za awali, zilizotolewa na abiria waliokuwa wakisafiri katika meli hiyo ikiendelea kuzam, wanansema meli ilibeba watu zaidi 1,500 wakati uwezo wake ni 500 tu.
 
Too sad, hatujui hao wengine waliopotea kabisa.
Tunaongopewa waliokuwepo melini ni 610(!?)
 
Inawezekana hii meli ilikuwa na watu 2000? Wauza tikei wangetoa ushirikiano labda tutajua idadi halisi ya ndugu zetu ambao hajulikani walipo. Hata wachakachuaji wa magetini waombwe kutoa taarifa bila wasiwasi wa kujikuta matatani na vyombo vya dola.
 
Mungu uwarehemu, waliotangulia mbele za haki kwenye ajali hii, na uwapatie nafuu ya haraka kwa waliojeruhiwa , uwajaalie hekima na busara watanzania waweze kuwatambua wanao wasababishia haya haya majanga na wawaondoe kwenye hizo nafasi! Amen!
 
kwani kutoka tanga mpaka nungwi karibu ? Au walikuwa wanaenda kuzitupa ndo ndo zimewashindia tanga?
 
kwani kutoka tanga mpaka nungwi karibu ? Au walikuwa wanaenda kuzitupa ndo ndo zimewashindia tanga?
kuna thread ulijinadi kuwa wewe ni mtu wa pwani halafu hujui sababu ya maiti kukutwa Tanga??
ukiwa muongo usiwe msahaulifu bana!!
 
kama kawa, tutaambiwa wamekufa mia mbili - tafsiri ni kutothaminisha kila aliyekufa

I am mhoping this time watatoa figure ya ukweli
 
kwani kutoka tanga mpaka nungwi karibu ? Au walikuwa wanaenda kuzitupa ndo ndo zimewashindia tanga?
kuna ndege ilianguka pwani ya Comoro lakini maiti zilipatikana Mafia na zingine Mtwara kama sikosei
 
maiti 30 zimepatikana tanga na serikali imetangaza watapg picha za maiti zitakazopatikana,then watazikwa huko huko watakapo onekana kuhofia miili kuharibika

Sio kweli, RPC Tanga amesema asubuhi hii kuwa hajapata maiti wala aliyesalimika. Toa confirmed news usilete uana kijiji hapa
 
<img src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2011/09/11/article-2035825-0DCFF03C00000578-269_634x356.jpg" border="0" alt="" />
hilo godoro likajaa maji imekula kwao.lakini hii picha itakuwa ya mv.bukoba.zenji mbona naskia ilikuwa usiku wa manane?au ndo wamekali godoro hadi saa sita mchana?.jamaa atakufa na friji yake kwapani.mia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom