harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Mi binafsi siwezi kuita tukio hili kuwa ni ajali ajali ni nini kwanza ?wanasema hivi hawa jamaa "An accident or mishap is a specific, unpredictable, unusual and unintended external action which occurs in a particular time and place, with no apparent and deliberate cause but with marked effects. It implies a generally negative outcome which may have been avoided or prevented had circumstances leading up to the accident been recognized, and acted upon, prior to its occurrence."
Tukio la kuzama kwa hili dude ni la kizembe hivyo sio ajali kamwe HAKUNA AJALI INAYOTOKEA WATU WAKAANZA KUSALI SALA ZAO ZA MWISHO NA KUAGA NDUGU NA JAMAA ZAO ,zAIDI YA MASAA MANNE HII SI AJALI KABISA?
Tukio la kuzama kwa hili dude ni la kizembe hivyo sio ajali kamwe HAKUNA AJALI INAYOTOKEA WATU WAKAANZA KUSALI SALA ZAO ZA MWISHO NA KUAGA NDUGU NA JAMAA ZAO ,zAIDI YA MASAA MANNE HII SI AJALI KABISA?