Ajali ya Meli: Picha ya meli na utata uliojitokeza

Vin Diesel

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
9,088
6,368
M.V.%2BSpice%2BIslander.jpg
 
Ndugu wanajamii,
Kuna suala linanitatiza juu ya picha itumikayo kuonyesha meli ys Mv. Spice Islander.
Binafsi natatizwa na mambo matatu juu ya hii Picha (bahati mbaya simu imeshindwa kui-paste hapa),
1. Meli ilipinduka majira ya Saa 8 za usiku na kuzama kama saa 10 au 11 za alfajiri, kwa maoni yangu sidhani kama picha itumikayo inaonyesha kupigwa muda huo,
2. Wanaoijua wanasema meli ni nyeupe yote bila hii rangi ya Bluu kwa Chini,
3. Hata pembeni ingawa maandishi yake hayaonekani vizuri lakini hayawezi kua Spice Islander,
Naombeni msaada wenu juu ya huu utata wa hii picha kama kuna mwenye ufafanuzi zaidi!
Hivi katika akili ya kawaida tu unadhani ulipaswa kuanzisha hii thread? unapozungumzia picha siku zote ni lazima uiweke hapa ili mtu aone na atoe comments zake, otherwise hii thread ni crap.
 
Hivi katika akili ya kawaida tu unadhani ulipaswa kuanzisha hii thread? unapozungumzia picha siku zote ni lazima uiweke hapa ili mtu aone na atoe comments zake, otherwise hii thread ni crap.
Wacha kukurupuka wewe,
Hivi nawe kwa akili ya kawaida unadhani ulipaswa kuijibu hii thread?
Nimeshatoa sababu kua simu nayotumia imeshindwa kuiweka hii Picha hapa,
But nikiamini kabisa hii picha imesambaa kila mahali na kila mtu atakua anaifahamu,
Unakurupuka tu na pombe zako kichwani unakuja ku-comment vitu visivyo na maana!!
 
Ndugu wanajamii,<br />
Kuna suala linanitatiza juu ya picha itumikayo kuonyesha meli ys Mv. Spice Islander.<br />
Binafsi natatizwa na mambo matatu juu ya hii Picha (bahati mbaya simu imeshindwa kui-paste hapa),<br />
1. Meli ilipinduka majira ya Saa 8 za usiku na kuzama kama saa 10 au 11 za alfajiri, kwa maoni yangu sidhani kama picha itumikayo inaonyesha kupigwa muda huo,<br />
2. Wanaoijua wanasema meli ni nyeupe yote bila hii rangi ya Bluu kwa Chini,<br />
3. Hata pembeni ingawa maandishi yake hayaonekani vizuri lakini hayawezi kua Spice Islander,<br />
Naombeni msaada wenu juu ya huu utata wa hii picha kama kuna mwenye ufafanuzi zaidi!

Mkuu...naona wadau waojua watakuja kuweka kumbukumbu sawa ndio maana nimeona niondoe kauli yangu
 







M.V.%2BSpice%2BIslander.jpg


Kwa mtazamo wangu meli iliyozama haiwezekani kuwa ndio Spice islander. Ukianza kuangalia kuanzia rangi, maandishi (ubavuni picha ya pili) hainishawishi kuwa meli katika picha ya kwanza ndio iliyozama picha ya 2.....Ni mtazamo wangu tu.
 
Ahsante sana Bujibuji,
Basi kwa mantiki hiyo "tumeingizwa mjini".
Hii meli haiwezi kabisa kua ndio ile aliyopost mdau Sangara pale juu,
Kwani ile ina madirisha kuanzia mbele mpaka nyuma (ya abiria)wakati hii ya Bujibuji ina madirisha mbele/nyuma tu.
 
Wacha kukurupuka wewe,
Hivi nawe kwa akili ya kawaida unadhani ulipaswa kuijibu hii thread?
Nimeshatoa sababu kua simu nayotumia imeshindwa kuiweka hii Picha hapa,
But nikiamini kabisa hii picha imesambaa kila mahali na kila mtu atakua anaifahamu,
Unakurupuka tu na pombe zako kichwani unakuja ku-comment vitu visivyo na maana!!
Yaani wewe dogo unadhani humu wote ni walevi wenzako?..............
 
Ni kweli hii tulioyo oneshwa imezama siyo kabisa. Kigezo simple mojawapo ni madirisha kuanzia mbele mpaka nyuma, maandishi makubwa ubavuni mwa hii iliyozama, na kikanopi cha mbele tu chenye gorofa kwa hii iliyozama haina.
 
Hiyo picha si ya kweli. Hiyo meli inaitwa Trans-Asia Shipping na ilikuwa meli ya Trans-Asia Shipping Lines ya Malaysia .

Ukiangalia hata jina ubavuni utaona kila kitu kimekaa sawa kabisa na hasa jina.

Yaani Tanzania kwa kuchakachua jamani, khaaa!!!!

transasia.jpg




MV-Trans-Asia-Malaysia-Sinks1.jpg

Picha ya pili, ni hiyo meli ya chini. Ila sema ni upande wa pili. Ukiangalia madirisha na maandishi, utaona kila kitu kinafanana.
 
kwa kuangalia hizo picha kuna utata kwani iliyoonyeshwa kuzama rangi yake kidogo inaonyesha uhai na ile ambayo ndo tunaambiwa kuzama kwa jina langi imepauka sana na inaonyesha haikuwa na mwangalizi
 
ni kweli kwa picha inaonekana iliyozama sio spice islander,ni trans asia.
nachoweza kushawishika hapa labda spice islander ni kampuni ya trans asia shipping,hivyo walikuja kuweka chata hiyo baadae.
 
Hii picha ya meli iliyozama ilirushwa tu siku ya jumamosi asubuhi lakini kiukweli hii sio Spice Islander na kuna mdau toka Zanzibar alilitolea ufafanuzi hili kwamba hii picha si yenyewe!! Lakini magezeti ya TZ yameichukua na kuiweka kana kwamba ni Spice Islander!! Inabidi watolee ufafanuzi hili vingenevyo ni upotoshaji wa habari...
 
ni kweli kwa picha inaonekana iliyozama sio spice islander,ni trans asia.
nachoweza kushawishika hapa labda spice islander ni kampuni ya trans asia shipping,hivyo walikuja kuweka chata hiyo baadae.
Tunapochangia tuwe na uhakika na kile tunachokisema, iliyozama ni meli ya mizigo na sio passenger cruise. angalia tena vizuri ndio utajuwa tofauti ya hizo meli, moja ni cargo ship, na nyingine ni passenger ship
 
Back
Top Bottom