Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Katika kauli tata na zisizokuwa na maana ni ile ya Mkweree majuzi kwamba waliofariki kwa ajali ya meli huko Nungwi wapimwe DNA ili kuwatambua kwa urahisi. Jamani huyu rais wa ajabu kabisa sasa sijui ile kauli aliitoa akiwa na mgandamizo wa mawazo ya ile kesi ya Dr Batiliada Burianii huko Arusha. Maana huyu mama ndio ilisemekana akapimwe DNA ili kubaini ukweli wa kauli ya Kada wa chadema huko. Sasa labda alikuwa anawaza sana ishu hiyo hadi kujikuta karopoka mahala isipotakiwa.
Nijuacho mie DNA ya utambuzi ni lazima pawe na data base inayokuwa ama ina taarifa ya mtu anayepimwa, ama wajitokeze baba na mama mzazi wa mpimwaji wapimwe wao kwanza na ndipo na huyo marehemu apimwe ili kuona common genes. Sasa huyu jamaa anaibuka na kusema 'wapimwe DNA' hivi wajameni huyu mtu ana nini kichwani, ama niulize hivi... hivi hana washauri wanaompa jinsi ya kuongea mbele ya kadamnasi? Rais asione haya kufundishwa speech na namna ya kuongea na hadhira, wote huwa wanapewa darasa huwezi ku win hadhira kama unaongea vitu ambavyo havipo duniani.
Utambuzi wa nani tu anamiliki Kagoda Tanzania imekuwa kama kuchunguza hivi ni nani baba yake Mungu! Sasa hiyo DNA hivi Tanzania imefikia advansi level kiasi gani katika forensic investigation? Kama tuko kamili vipi mauaji ya kule kibaha ya yule dereva taksi maskini yakawa mistery!! Nimeskitika sana aisee na siwezi kukaa kimya huyu jamaa anaweza kuja kutuadhiri hata ugenini huko anakopenda kuzurura tukawa sisi madaktari tukiomba kazi tunaambiwa tukapimwe kwanza DNA ili kubaini uwezo wetu wa kufikiri na kiwango cha uendawazimu wetu.
Kwa faida ya wana JF, ona hilii ''DNA ni kifupi cha DeoxyriboNucleic Acid ambayo nijina la molekuli kubwa ndani ya seli za viumbehai. DNA Inabeba ndani yake habari zote za urithi wa kiumbehaiyaani habari za tabia zote zinazopokelewa na wazazi. Molekuli ya DNA inaumbo kama ngazi mbili za kupanda zilizounganishwa pamoja na kupindwa kama sukurubu.DNA ina uwezo wa kujinakili. Wakati wa kuzaa inajipasua katikati ya pande mbiliza "ngazi" yake. Hivyo nusu "ngazi" ya upande wa mzazi mmojainaungana na nusu "ngazi" ya mzazi mwingine.Tabia kama ukubwa, rangi ya ngozi au nywele ziko kilamoja mahali pake; zikiunganishwa kemia inaamua ni upande gani yenye athirazaidi''
Inatia hasira sana aisee, Nawasilisha kwa huzuni kabisa.
Nijuacho mie DNA ya utambuzi ni lazima pawe na data base inayokuwa ama ina taarifa ya mtu anayepimwa, ama wajitokeze baba na mama mzazi wa mpimwaji wapimwe wao kwanza na ndipo na huyo marehemu apimwe ili kuona common genes. Sasa huyu jamaa anaibuka na kusema 'wapimwe DNA' hivi wajameni huyu mtu ana nini kichwani, ama niulize hivi... hivi hana washauri wanaompa jinsi ya kuongea mbele ya kadamnasi? Rais asione haya kufundishwa speech na namna ya kuongea na hadhira, wote huwa wanapewa darasa huwezi ku win hadhira kama unaongea vitu ambavyo havipo duniani.
Utambuzi wa nani tu anamiliki Kagoda Tanzania imekuwa kama kuchunguza hivi ni nani baba yake Mungu! Sasa hiyo DNA hivi Tanzania imefikia advansi level kiasi gani katika forensic investigation? Kama tuko kamili vipi mauaji ya kule kibaha ya yule dereva taksi maskini yakawa mistery!! Nimeskitika sana aisee na siwezi kukaa kimya huyu jamaa anaweza kuja kutuadhiri hata ugenini huko anakopenda kuzurura tukawa sisi madaktari tukiomba kazi tunaambiwa tukapimwe kwanza DNA ili kubaini uwezo wetu wa kufikiri na kiwango cha uendawazimu wetu.
Kwa faida ya wana JF, ona hilii ''DNA ni kifupi cha DeoxyriboNucleic Acid ambayo nijina la molekuli kubwa ndani ya seli za viumbehai. DNA Inabeba ndani yake habari zote za urithi wa kiumbehaiyaani habari za tabia zote zinazopokelewa na wazazi. Molekuli ya DNA inaumbo kama ngazi mbili za kupanda zilizounganishwa pamoja na kupindwa kama sukurubu.DNA ina uwezo wa kujinakili. Wakati wa kuzaa inajipasua katikati ya pande mbiliza "ngazi" yake. Hivyo nusu "ngazi" ya upande wa mzazi mmojainaungana na nusu "ngazi" ya mzazi mwingine.Tabia kama ukubwa, rangi ya ngozi au nywele ziko kilamoja mahali pake; zikiunganishwa kemia inaamua ni upande gani yenye athirazaidi''
Inatia hasira sana aisee, Nawasilisha kwa huzuni kabisa.