LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ama kweli hali ya hewa siyo TZ ye2! Ndg zetu,rafiki na hata jamaa wanatoweka kila leo ktk ajali ya barabarani. Nasema ajali hz ni JANGA kwa Taifa na isipoangaliwa tena vizuri hakika nawaambia tutaishia barabarani. MUNGU MWENYE MAMLAKA TUKO CHINI YAKO TUKIKULILIA MUNGU WETU,KATUZIDISHIE MALAIKA WAKO KTK ULINZI. Amen!!