jitukubwalao
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 194
- 161
Jioni hii ya Jumapili nimeshuhudia ajali ya kizembe sana, kuna jamaa alikuwa na kirikuu yupo mwendo kasi sana akanichonea kunipita mbele akakutana na semitrela jamaa akashika breki kwa ghafla gari akihama ikabiringita hadi mtaroni sijui hali yake ilikuwaje lakini kwa mzinga ule kama hakufunga mikanda atakuwa alitokea kwenye kioo cha mbele.
Wito madereva umakini ni kitu muhimu sana kama mbele huoni vizuri usilazimishe kumpita wa mbele yako. Pia mwendo kama huwezi kumudu gari tusikimbie hovyo
Wito madereva umakini ni kitu muhimu sana kama mbele huoni vizuri usilazimishe kumpita wa mbele yako. Pia mwendo kama huwezi kumudu gari tusikimbie hovyo