Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
kafara hiyooooooooo
ninavyomfahamu KAFUMU NI MKRISTO SAFI neno KAFARA haiingii akilini kabisaaaaaaaaaa!!!!!
Jamani shetani kakukosea nini? ulikutana naye wapi?Hawa nao wamezidi na mafuso yao, ona yameanza kuua watu wasio na hatia, naichukia CCM kama nimchukiavyo shetani.
Alijengaje misikiti huko Igunga?ninavyomfahamu KAFUMU NI MKRISTO SAFI neno KAFARA haiingii akilini kabisaaaaaaaaaa!!!!!
ninavyomfahamu KAFUMU NI MKRISTO SAFI neno KAFARA haiingii akilini kabisaaaaaaaaaa!!!!!
<br />gundu tayari kwa Magamba au ndio wametoa kafara????
msitumie malori kubeba washabiki wenu!
Kama wanawakubali waacheni waje wenyewe, kwa nini mnawabeba kama ng'ombe?