Ajali ya bus la Wabunge: 98% ya wananchi waliotoa maoni yao mitandaoni waliombea wafe wote...!

The Palm Beach

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
1,742
3,729
Screenshot_20241208-155526.png


Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...

Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....

Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...

Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
 
Mh! hiyo ni sawa na dua la kuku!, ifike hatua kama mtu ama watu hamuwataki waonyesheni pale panapostahili kuwa hamuwataki. kuombeana majanga ama kifo si jambo la akili hata kidogo maana, majanga na kifo humpata yoyote haijalishi upo ktk nafasi gani!.

kama serikali hamuitaki ama watu fulani fulani hamuwataki zipo platform zakuwakabili huko, kumuombea mtu majanga ni uchawi kama uchawi mwengine tu!.
 
View attachment 3172243

Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...

Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....

Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...

Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
Mimi niliwapa pole na kuwatakia majeruhi quick recovery, niliweka chuki na hasira za namna bwalivyoingia bungeni pembeni
 
View attachment 3172243

Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...

Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....

Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...

Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
Binafsi hadi leo nipo ktk mfungo nikiwaombea wafe na wasipokufa wawe vilema wa maisha.
 
Back
Top Bottom