Ajali ya basi la mwendokasi

Freyzem

JF-Expert Member
Jun 29, 2013
10,024
24,374
Kuna ajali imetokea muda huu kati ya basi la mwendokasi limegongwa na gari dogo! Hakuna majeruhi
d2a33abbded10e58bc64948e70896f36.jpg
8b403d5fdf9bcc42bec41f2ba496784f.jpg

cf614546d1f7ede1fa0d377875b9ad03.jpg
b8089965ab79ad56d3feafb5b728384b.jpg
 
Kuna ajali imetokea muda huu kati ya basi la mwendokasi limegongana na gari dogo! Haukuna majeruhi
d2a33abbded10e58bc64948e70896f36.jpg
8b403d5fdf9bcc42bec41f2ba496784f.jpg
Wapi hiyo mkuu maana sisi ni wadauwa hiyo kitu na jinsi ilivyo yaweza kuchelewesha watu wakati huu tunapotoka maofisini
 
Si wanakimbia kama vichaa bila kuchukua tahadhari, acha wayakongoroe tu maana ni makusudi.
 
Hii ajali ni matojeo ya kutokuheshimu alama za barabarani, kiburi, kujiamini kupita kiasi pamoja na kutokujihami!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom