killo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 401
- 94
Katika pita pita zangu nimekuta ajali leo eneo la veta inayohusisha lorry aina ya Scania lililokuwa limebeba steel plate rolls kutoka bandarini
Chanzo cha ajali hiyo inasemekana ni uzembe wa usalama wa barabara ambapo gari hilo lililobeba huyo mzigo huo kutokuwa na safety guards kwenye zigo wake hivyo kupelekea mzigo huo kudondoka lilipopunguza mwendo kwenye rail crossing
Dereva Utingo wote wako salama ila ni mstukotu wa ajali
Namuonea huruma tajiri maana Engine imepondwa na kuvunjwa katikati ya engine na gearbox
picha:
Chanzo cha ajali hiyo inasemekana ni uzembe wa usalama wa barabara ambapo gari hilo lililobeba huyo mzigo huo kutokuwa na safety guards kwenye zigo wake hivyo kupelekea mzigo huo kudondoka lilipopunguza mwendo kwenye rail crossing
Dereva Utingo wote wako salama ila ni mstukotu wa ajali
Namuonea huruma tajiri maana Engine imepondwa na kuvunjwa katikati ya engine na gearbox
picha: