Hahahahahaha vya kuokota havina hasara hahahahaWaziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Makame Mbarawa amesema Serikali imenunua vichwa 11 vilivyokuwa havina mwenyewe na vitatumika kwenye reli ya Standard Gauge SGR itakapokamilika.
View attachment 703569
View attachment 703568