Ikiwa ni ndani ya wiki moja Mkoa wa Tabora kukumbwa na ajali mbaya za vyombo vya usafiri( Bus) Basi lililoua watu zaidi ya 24 mwanzoni mwa wiki hii wilayani Nzega A.M coach dakika chache zilizopita Basi jingine la kampuni hiyo limepata ajali mbaya ambapo watu watatu wamefariki papo hapo! ajali hiyo imetokea nje kidogo ya mji wa Tabora kama km 15 hivi kwenye kijiji cha kazima ambapo pia kuna bwawa kubwa la maji lijulikanalo Bwawa la kazima.
kwa kuwa ajali imetokea muda mfupi uliopita nitawapa habari zaidi baadaye
kwa kuwa ajali imetokea muda mfupi uliopita nitawapa habari zaidi baadaye